What To Do On First Date...!!!??

What To Do On First Date...!!!??

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Regards wakuu MMU,
there comes a time ambapo baada ya kuzunguka huku na kule finally unajikuta moyo wako umetua kwa mtu mmoja ambaye umetokea kumpenda kwa dhati and God willingly unawish one day mtu huyo aweze kuja kua life time partner. Mi naomba kuuliza, kwa serious first time date, ni tips gani unaweza ukampa mtu? like dressing code, the place to take her, kind of food, what to talk about, manners, and how to convince her just on first date lakini mpaka akaelewa kwamba uko serious na unachofanya na you are there to stay. is it necessary to order expensive whine/ champagne ? assuming kwamba i know nothing about dates, please share with me some of the tips which can make my date be something spectacular and fun hata ye mwenyewe aweze kuenjoy that moment.
Regards,
Don Lucchese.
 
kwi kwi kwi kumbe ndio maana kuna mtu alianzishaga topic kwamba wanawake wa mitandaoni sio wives material kumbe ni kwa sababu tunajua mambo yenu mengi na maujuzi mnayopeana humu!!! haya tiririkeni hapa.
 
kwi kwi kwi kumbe ndio maana kuna mtu alianzishaga topic kwamba wanawake wa mitandaoni sio wives material kumbe ni kwa sababu tunajua mambo yenu mengi na maujuzi mnayopeana humu!!! haya tiririkeni hapa.
heheheh, damn ryt!
 
FIRST mnaongea pamoja what to do for fun.

THEN SIKU IKIFIKA
MFATE ALIPO AMA MTAKAPOMEET,MHUG JUS FRIENDLY HUG!

MVUTIE KITI AKAE,

*DONT TALK ABOUT SEX.*

DRESS CASUAL SMART...

EAT WHAT U CAN AND BEHAVE,JUS BE GENTLE..

MAKE SURE MNAONDOKA MNACHEKA KWA FURAHA..!

ASK FOR A SECOND DATE.

MSINDIKIZE HADI KWAKE,MFUNGULIE MLANGO WA GARI,HAKIKISHA AMEINGIA NDANI.

UKIFIKA MCALL ANAENDELEAJE..THEN KAMA KUNA KITU MLIPIGA STORY MKACHEKA,MKUMBUSHE MCHEKE WOTE.

USIMTEXT KILA SAA KILA SAA ATAONA UMESHOBOKA, JIPE MUDA NAWE..POZI FLANI KWA MBAALI..ILA SIO SANA.. LOL
 
kwi kwi kwi kumbe ndio maana kuna mtu alianzishaga topic kwamba wanawake wa mitandaoni sio wives material kumbe ni kwa sababu tunajua mambo yenu mengi na maujuzi mnayopeana humu!!! haya tiririkeni hapa.

mbinu za mapambano zinapatikana kwenye uwanja wa mapambano
 
FIRST mnaongea pamoja what to do for fun.

THEN SIKU IKIFIKA
MFATE ALIPO AMA MTAKAPOMEET,MHUG JUS FRIENDLY HUG!

MVUTIE KITI AKAE,

*DONT TALK ABOUT SEX.*

DRESS CASUAL SMART...

EAT WHAT U CAN AND BEHAVE,JUS BE GENTLE..

MAKE SURE MNAONDOKA MNACHEKA KWA FURAHA..!

ASK FOR A SECOND DATE.

MSINDIKIZE HADI KWAKE,MFUNGULIE MLANGO WA GARI,HAKIKISHA AMEINGIA NDANI.

UKIFIKA MCALL ANAENDELEAJE..THEN KAMA KUNA KITU MLIPIGA STORY MKACHEKA,MKUMBUSHE MCHEKE WOTE.

USIMTEXT KILA SAA KILA SAA ATAONA UMESHOBOKA, JIPE MUDA NAWE..POZI FLANI KWA MBAALI..ILA SIO SANA.. LOL

i started wit u madam nione kama ushauri wako unafanya kazi..
 
FIRST mnaongea pamoja what to do for fun.

THEN SIKU IKIFIKA
MFATE ALIPO AMA MTAKAPOMEET,MHUG JUS FRIENDLY HUG!

MVUTIE KITI AKAE,

*DONT TALK ABOUT SEX.*

DRESS CASUAL SMART...

EAT WHAT U CAN AND BEHAVE,JUS BE GENTLE..

MAKE SURE MNAONDOKA MNACHEKA KWA FURAHA..!

ASK FOR A SECOND DATE.

MSINDIKIZE HADI KWAKE,MFUNGULIE MLANGO WA GARI,HAKIKISHA AMEINGIA NDANI.

UKIFIKA MCALL ANAENDELEAJE..THEN KAMA KUNA KITU MLIPIGA STORY MKACHEKA,MKUMBUSHE MCHEKE WOTE.

USIMTEXT KILA SAA KILA SAA ATAONA UMESHOBOKA, JIPE MUDA NAWE..POZI FLANI KWA MBAALI..ILA SIO SANA.. LOL
daah mkuu this is a veree nice tutorial. nimejifunza kitu flani, daah kweli yataka moyo sa sijui ntamchekesha na nini!
 
Mtazame usoni kisha muulize bila kupepesa macho kama yuko singo au dabo!
 
daah mkuu this is a veree nice tutorial. nimejifunza kitu flani, daah kweli yataka moyo sa sijui ntamchekesha na nini!
talk about a movie..talk about anything hata story za shule lol...za utoto mulize
 
for the first date,..

Jidai kwamba we ni choka mbaya umpime kama anapenda hela au vipi,..

Kama anapenda hela then usitegemee second date!!



''ni hayo tu''
 
Regards wakuu MMU,
there comes a time ambapo baada ya kuzunguka huku na kule finally unajikuta moyo wako umetua kwa mtu mmoja ambaye umetokea kumpenda kwa dhati and God willingly unawish one day mtu huyo aweze kuja kua life time partner. Mi naomba kuuliza, kwa serious first time date, ni tips gani unaweza ukampa mtu? like dressing code, the place to take her, kind of food, what to talk about, manners, and how to convince her just on first date lakini mpaka akaelewa kwamba uko serious na unachofanya na you are there to stay. is it necessary to order expensive whine/ champagne ? assuming kwamba i know nothing about dates, please share with me some of the tips which can make my date be something spectacular and fun hata ye mwenyewe aweze kuenjoy that moment.
Regards,
Don Lucchese.
Unapesa? Usisahau kulipa tips?.Pay for the food Kama wewe mwanaume,Relax usivae suruali ya njano,pink na Mkanda mweupe au Viatu vyeupe.Usijiongelee oh Mie Mie Mie .Usiende na kicheche usafiri Halafu relax .wabongo mnamchezo wakupaka cologne Mpaka its irritating .Loose weight wanaume wanene wanatia kichefuchefu pleaseee.Turn off your cellular phone .Relax enjoy ,Hamna kumchungulia Kama ana ------ hiyo ni dalili ya umalaya.Unalo hilo
KAMA WEWE ni mdada MWANAUME PESA.Angalia saa aliyovaa Kama ni ROLEX amaa gari lake LEXUS ,BENTLEY ,Mercedes au.Tip ameacha baada ya mlo ,PESA (msichana kuolewa na Mtu Mwenye uwezo bibi wanaume maskini wanaleta umaskini zaidi Kwenye family tafuta Ng'ombe aliyenona )Mtu yoyote asikudanganye Pesa sabuni ya roho .Mwanaume Pesa.Mwanaume akikuuzi unamchukua debit card shopping .Sio kakuuzi umeme Hamna achana nao
 
Hii mambo huwa haina formula....ingawaje huwa kuna the art of approaching hufundishwa na wanazuoni wa saikolojia ya mahusiano.
 
Back
Top Bottom