Mara nyingi kuna sauti ndogo,laini na ya upole inakua inaongea na sisi
tukiwa tunafikiria kufanya jambo lolote,au tukiwa tunalifanya au tunajiandaa kufanya kitu.
Mara nyingi pia sauti hii hua tunaidharau,maana ni ya upole sana lakini ndio sauti peke yake
ambayo inatakiwa iongoze maisha yetu.
Kwa mtazamo wangu,yawezekana kabisa sauti hii ilikua inamtokea na akaona kabisa
anachotaka kukifanya ni kosa kubwa sana,...........
*Labda aliambiwa kuna maradhi atakupa akifanya tendo hilo na wewe,...........
*Au labda aliambiwa wewe una maradhi utampa,..........
*Au labda aliambiwa utamchezea tu na utamtosa,.......
*Au labda aliambiwa ukifanya kosa hili leo utapata mimba,...
Na mengine mengi,cha muhimu mkuu,mshukuru sana Mungu kwa kilicho tokea.
na zaidi ya yote,jifunze kuisikiliza sauti hii mda wote,...
Ni sauti ya ROHO MTAKATIFU