Tatizo liko wapi, hiyo ni sanaa tu, ila hisia zako zilikokupeleka wewe ndo mwenye tatizo
Hata me mwenyewe nawashangaaTatizo letu wabongo ni stress, sasa kuna tatizo gani kwa msanii kufanya sanaa yake, mbona akifanya joti hauoni tatizo.
Mkuu style anayofanya joti na huyu unaona ni sawa? Joti unaona kabisa hii ni kichekesho maana hata mavazi na aina za make up zinaonyeshs hivyo, ila huyu dullvan kama humjui unaweza tongoza kabisa...Tatizo letu wabongo ni stress, sasa kuna tatizo gani kwa msanii kufanya sanaa yake, mbona akifanya joti hauoni tatizo.
Cost yake ni kuloose ambition za kiume ...mfano mwanamke aanze kucheza mieleka , ni kweli ni Sanaa na atapata hela ni kweli kabisa , Ila atauforce mwili kuwa kama mwanaume ili kuendana na Sanaa anayofanya , na mwili utarespond , na hvo kuna character za kike zitapoteafame has price...kujigeuza mwanamke ili kupata umaarufu nayo ni mbinu tu...sikuhizi wanapenda kiki hawa wasanii..
kila siku wanabuni mbinu za kupata fame..hii ikiwa ni moja wapo
Kwani tatizo liko wapi hapo si anatumia Sanaa yake mchumba wake analijua Hilo wewe unatokaje povu Kama mpenzi wake karidhia Hilo we ni Nani mpaka utesekeDogo ana kipaji kizur Sana , lakn sasa anakoelekea , sio poa baadhi ya reaction za mwili zinajengwa na mazoea , baada ya mda sitashangaa anakuwa na mambo ya kike kike...ajitahdi kubalance mambo naona sa hv amekuwa extremely kuact kama mwanamke , may be anamake huge 💰 , but soon gharama yake itaonekana ....
View attachment 1369436View attachment 1369438View attachment 1369440View attachment 1369441
wewe usingekuwa karibu na hao mashoga wala hayo mawazo juu ya muonekano wa mwenzio yasingekusumbuaWewe ni KE bila shaka maana mnakuwaga na marifiki mashoga mmeshazoea
Mzee kumbe ww zero kabisa, kwahyo wewe mashoga huwajui? Hujawahi kuwaona?wewe usingekuwa karibu na hao mashoga wala hayo mawazo juu ya muonekano wa mwenzio yasingekusumbua
Halafu hata hiyo lugha aliyotumia jamaa uliemjibu nae anaonekana walewale tuKumbe ana mchumba , bas huyo mchumba wake ni zero brain aka empty head