alafu huyo mchumba wake ni mzuri ile mbaya mpaka namuonea wivu sijui hiko chombo amekipatia wapi na dullyvani ameshatangaza atamuoa mwaka Huu.Kumbe ana mchumba , bas huyo mchumba wake ni zero brain aka empty head
Mchumba wake ndo alitakiwa atoke povu sio weweHalafu hata hiyo lugha aliyotumia jamaa uliemjibu nae anaonekana walewale tu
🤣🤣🤣 lugha yako inaonyesha una homoni nyingi za kike.. Unamuonea wivu? 😂😂😂😂alafu huyo mchumba wake ni mzuri ile mbaya mpaka namuonea wivu sijui hiko chombo amekipatia wapi na dullyvani ameshatangaza atamuoa mwaka Huu.
Wivu ni kawaida katika maisha hata we Kama una jamaa yako ana chombo kuliko chako automatically lazima wivu iusike🤣🤣🤣 lugha yako inaonyesha una homoni nyingi za kike.. Unamuonea wivu? 😂😂😂😂
mchumba wake si ndo huyu innocent dependent kaka? Ama hujui?Kumbe ana mchumba , bas huyo mchumba wake ni zero brain aka empty head
Tobaaa! Yarabi.!alafu huyo mchumba wake ni mzuri ile mbaya mpaka namuonea wivu sijui hiko chombo amekipatia wapi na dullyvani ameshatangaza atamuoa mwaka Huu.
Hiv ikitokea jamaa yako ana demu mkali kuliko demu wako ujisikii wivu?Tobaaa! Yarabi.!
Yaani unamuonea wivu mke wa dully van dume zima ww?
Ouk muombe dully Vanny akufanye uwe Nyumba ndogo usihofu...
Hiyo ndo kamba yako ilipoishia.Hiv ikitokea jamaa yako ana demu mkali kuliko demu wako ujisikii wivu?
unamtongozea wapi? kwenye maigizo? kama amevaa uhusika wa mwanamke na wewe ukamfananisha na mwanamke inabidi ukubali ndio kuitendea haki sanaa yake, sasa ulitaka avae uhusika wa wema sepetu ila afanane na kingwendu? ebu wabongo tupunguze stress kidogo. Je angevaa uhisika wa ushoga ingekuwa vipi. sio kila jambo unalipokea kwa mohemko.Mkuu style anayofanya joti na huyu unaona ni sawa? Joti unaona kabisa hii ni kichekesho maana hata mavazi na aina za make up zinaonyeshs hivyo, ila huyu dullvan kama humjui unaweza tongoza kabisa...
Ndio kitu ambacho anakiweza na ndio kinampa ugali. je kwenye maisha yake ya kawaida anakuwa hivyo? kama mtu anaweza kuvaa character ya mwanamke na kufanya vizuri, what bother you? sio kila mtu anaweza kufanya stand up commedy, kama anafanya mambo mpaka yakakufanya hadi wewe kumfuatilia, basi kafikia lengo.Joti anajitahd kubalance , Dullvan ameenda sana ...95 % anachofanya ni female action
Ebu walipue hao jamaa hawajielewi demu wake mwenyewe anajua dullvan yuko kazini anafanya kazi yake ya Sanaa wewe ambaye sio ndugu yake na hawa unamsaada nae kwanini utesekeunamtongozea wapi? kwenye maigizo? kama amevaa uhusika wa mwanamke na wewe ukamfananisha na mwanamke inabidi ukubali ndio kuitendea haki sanaa yake, sasa ulitaka avae uhusika wa wema sepetu ila afanane na kingwendu? ebu wabongo tupunguze stress kidogo. Je angevaa uhisika wa ushoga ingekuwa vipi. sio kila jambo unalipokea kwa mohemko.
Kwenye maigizo, aliwahi kwenda kwenye sherehe ya wcb amevaa mavazi ya kike shwain wwunamtongozea wapi? kwenye maigizo? kama amevaa uhusika wa mwanamke na wewe ukamfananisha na mwanamke inabidi ukubali ndio kuitendea haki sanaa yake, sasa ulitaka avae uhusika wa wema sepetu ila afanane na kingwendu? ebu wabongo tupunguze stress kidogo. Je angevaa uhisika wa ushoga ingekuwa vipi. sio kila jambo unalipokea kwa mohemko.
juma kujole na dulavani tabia zao zinafanana kabisa, sishangia ukimtetea.Kwani tatizo liko wapi hapo si anatumia Sanaa yake mchumba wake analijua Hilo wewe unatokaje povu Kama mpenzi wake karidhia Hilo we ni Nani mpaka uteseke
Dogo ana kipaji kizur Sana , lakn sasa anakoelekea , sio poa baadhi ya reaction za mwili zinajengwa na mazoea , baada ya mda sitashangaa anakuwa na mambo ya kike kike...ajitahdi kubalance mambo naona sa hv amekuwa extremely kuact kama mwanamke , may be anamake huge [emoji383] , but soon gharama yake itaonekana ....
View attachment 1369436View attachment 1369438View attachment 1369440View attachment 1369441