What went wrong with Dullvan (Nini kimempata msanii wa vichekesho Dullvan)?

..kila igizo nnalokutana la huyu dogo ni lazima awe ameigiza kama demu. Labda kunaweza kukawa na mengine aliyoigiza kama mwanamme kwa kuvaa uhusika fulani ila mara nyingi unakutaka sijui kavaa dera, sijui mjamzito ni kama vile akiigiza kawaida anaona hapendezi. Sasa hii ni mbaya kwake na watu wanaomuangalia, si mnakumbuka Filamu ya Shoga ya Tinno ilivyopata tabu sijui kama iliachiwa niliacha kufuatilia maana mamlaka waliikataa. Anyway ni kabila gani huyu dogo
 
Halafu huu uigizaji wa mwanaume kujifanya mwanamke ulishapitwa na wakati..sijui kwanini asitumike mwanamke moja kwa moja kufikisha ujumbe na badala yake wanamchukua huyu mwanaume na kumfanya kama mwanamke
 
Halafu huu uigizaji wa mwanaume kujifanya mwanamke ulishapitwa na wakati..sijui kwanini asitumike mwanamke moja kwa moja kufikisha ujumbe na badala yake wanamchukua huyu mwanaume na kumfanya kama mwanamke
Dogo Fala Tu yule
 
Hawa watu ndio kwa namna moja au nyingine wanapromote ushoga kwny jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…