ahh ntamwambia anambie kwa kina alianza lin n y....
ntamsamehe ..cz skujua na nanajua kuna factor nying sana zilizopelekea yeye kuwa jambaz..uenda mimi pia nilichangia yeye kuwa jambaz
ntamsamehe na kumpa councelling....
wanawake wa rombo uko wangesema ahhh nimepata kidume kweli kweli bwana goodluck ni jambaz akyanan nakwambia napata kilakitu mimi...........
Haya bibie angalia asije kukujambaz na wewe
Umeolewa na mmeishi kwa muda(miaka) mwingi, mumeo ni askari/Mwanajeshi kwa hiyo kuna kipindi anakuwa zamu ya usiku. Siku mmoja ukaja kustukia kuwa mumeo anajihusisha na mambo ya ujambazi nyakati za usiku lakini hukuaga kuwa anaenda kwenye zamu yake kituoni. Mdada utandelea kuishi naye na kutunza siri au utatimuka mambio?
Ukishiirikiana na mwizi.........................?
whata is the differenceNi jambazi sio mwizi!!!!!!!