Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha..... duuuuh, hiyo kali... daah, mshirika unajua kuua wewe!! lol
mawasiliano ni kitu muhmu sana kwa kila binadamu said:mm naona hata kama mawasiliano hakuna kutokana na sababu zinazaojulikana mfano net work or hata dharura ya msingi ndo mnaweza saahuliana,mm nadhan shish atizame ni kias gan anampenda huyo msela?
na je huyo msela anampenda shish kikweli?,ajaribu kumuuliza ni kwa nn anampenda?na kitu gani kilimfanya aoe mapema na aachane na mke wake mapema?,halaf apime kama majib ni mazur warudiane kwa mashart ya kuwa waoane.
Hell no sister you are not going back to that dude. 1.he is poor at communicating, 2.he is not open, 3.he doesnt want to discuss important issues, 4.he got married and divorced in three months? Conclusion he is not husband material.
Am new at JF but after reading a few of your posts can i rephrase the charmingly delicious to deliciously charming?
ah bwanawe polepole.that was then n thngs hav chngd alot. Harusi december.
ah bwanawe polepole.that was then n thngs hav chngd alot. Harusi december.
Mzalendohalisi sasa unawapa kichwa wanaume,unawaambia kina Fidel80 kwamba 'kuolewa ni bahati'? huoni unawapa leseni ya kuonea na kunyanyasa dada zetu,maana afterall watasema 'atakwenda wapi huyu na umri umesogea,akitoka kwangu atamtaka nani'?Shish,
Wewe you are at 31 and you need to get married- wewe hii ni bahati yako- wala usisubiri zaidi- hakuna guarantee kuwa ukisubiri watamiminika wanaume kibao!
Kumbuka pia umri wako wa kuzaa watoto!
Kama unampenda- wewe msamehe, na uolewe, iwe mke mdogo au la!
Asikudanyage mtu- hii ni bahati umepata na usiichezee! Wako walioona nafasi kama hizi wakaziacha na leo miaka nenda rudi, hawajaolewa na wako 40 sasa!
Hakuna mtu perfect, na hata ukisubiri huna guarantee ya kumpata perfect zaidi!
Chonde chonde Shishi,this is very important,yakaribia mwaka na nusu tangu ulipofungua hii mada (ilikuwa february 2008) hebu tueleze mtarajiwa nini kilitokea hapo kati kati na je unaolewa na nani ni yule yule Mheshimiwa sana uliyemtaja kwenye thread au njemba nyingine? kama ni nyingine uliivuta toka humu ndani ya JF? Maana inaelekea member wengi walianza kukusarandia!ah bwanawe polepole.that was then n thngs hav chngd alot. Harusi december.
Ipi sasa na wewe Shishi..... ya Nairobi au hiyo? eeeh.....kama vipi si tunavuka boda kuja kula pilau au ndo ile ya 100 special guests?
Chonde chonde Shishi,this is very important,yakaribia mwaka na nusu tangu ulipofungua hii mada (ilikuwa february 2008) hebu tueleze mtarajiwa nini kilitokea hapo kati kati na je unaolewa na nani ni yule yule Mheshimiwa sana uliyemtaja kwenye thread au njemba nyingine? kama ni nyingine uliivuta toka humu ndani ya JF? Maana inaelekea member wengi walianza kukusarandia!
It seems you're in love with this gentleman. Follow your heart, if he has assured you that he is ready to change his behaviour and become more open, but at the same time you should be very careful. If possible try to find the main reason(s) why his marriage fall apart after a very short time. Every one in this World deserves a second chance, but at the same time take things very slowly and don't try to rush up anything.
ah! umenifurahisha kwani ni ngapi???usijali wanaJF wote wamealikwa tena kiingilio ni haya majina mloo jibandika hapa JF, name tags zitakuwa ndizo kadi, sijui tuifanye boda ndiyo nyote wakenya na watz mfaidi??? mmmmmm. nawasubiti nyote kwa hamu!!!
Shishi wahenga walisema curiosity ilimuua paka,wacha nife we niambie tu exactly nini kilitokea mpaka mkaamua sasa muape hadi kufa na kuzikana? na yule mamsapu wake mama kabebiii iliisha vipi ? na yale majamboz ya ushauri nasaha na damu nanini mlikwenda...i mean amref?ahahahhahaha duh bishanga una vijimambo.... hivi nani kaianzisha upya hii thread????mmmm kaizer huyo! ati for updates. sawa basi wacha niwape updates.... we've been dating again for the last 12 months or so...am happy abt the turn of events ndio naazna kuwaalika pilau na chakacha wiki nzima muanze kuomba off makazini!!!
wala sio wa JF sasa mie mtoto mzuri mambo ya kina YoYo na Fidel ntaweza kweli...... mara sijui department B ahahhahahahha
Shishi wahenga walisema curiosity ilimuua paka,wacha nife we niambie tu exactly nini kilitokea mpaka mkaamua sasa muape hadi kufa na kuzikana? na yule mamsapu wake mama kabebiii iliisha vipi ? na yale majamboz ya ushauri nasaha na damu nanini mlikwenda...i mean amref?
ahahahhahaha duh bishanga una vijimambo.... hivi nani kaianzisha upya hii thread????mmmm kaizer huyo! ati for updates. sawa basi wacha niwape updates.... we've been dating again for the last 12 months or so...am happy abt the turn of events ndio naazna kuwaalika pilau na chakacha wiki nzima muanze kuomba off makazini!!!
wala sio wa JF sasa mie mtoto mzuri mambo ya kina YoYo na Fidel ntaweza kweli...... mara sijui department B ahahhahahahha
ah bwanawe polepole.that was then n thngs hav chngd alot. Harusi december.