Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Mh ...... hapa leo ipo kazi......but am loving it. wow Kelvin... I love your confidence my bro.
thank you brandon..... Nimekusoma. Thanx
yo welcome sweetheart and all the best. Hope u will find your mr right.
thanx bby................but am still having my time. Its more of learning and knowing more than wanting to get one.
Mh Ndahani hapa sasa umleta mtihani......... I just defined wild as in romantically wide kwa mwanamke...........but I now see that my definition is narrow it needs to be expanded................ what is wild romantically for man.... how can we define a man as a romantic wild??
Thanx bby................but am still having my time. Its more of learning and knowing more than wanting to get one.
so wonderful, take yo time mamii before u jump there maana unaweza jump kwenye relationship ukapata maumivu mpaka ukaona ndio mwisho wa maisha yako. Mi nimepata fundisho.
Anyway,...romantic wild....ila ndani ya chumba tu!!! Mhh! Kwa maana hiyo kama ni ndani ya chumba lazima awe na nguvu za kupitiliza.
Mjukuu habari yako bana! Me penda wild bana!
MJ1 sijui hata nichague ipi,nikisema wild,huo ukimya utanibore!Naweza kupenda b) lkn nahofia hizo aibu za chumbani,,lol!
Napenda b, hizo aibu zake tutavutana mpaka atazoea na zitaisha zote
Yaani Wiselady my sisy nimejikuta nashindwa kujua nikitakacho ndo mana nkalileta barazani maana chumbani limekuwa zito. Au pengine inabidi wakati mnaanza urafiki muulizane kila mtu anapenda wa aina gani. Kwa sababu unawezajikuta bidada uko mpole kwa chumba but mchangamfu nje ukaonekana unafake chumbani ...... au ukawa wild chumbani mpole hadharani akakuona msanii.................... ah
Mwanajamii: kwani wewe chaguo lako ni lipi hapo?
Binafsi na-prefer A manake mambo ya hadharani pia siyo mfuasi...
That's why I like a lil bit of everything in one package. In other words multi-faceted and multi-dimensional
Ni kweli Kelvin but is it possible to get someone with those qualities?? au ndo unaadvocate vibajaji??
Er'thing is possible under the sun Ma. You just gotta know how to play the dating game.
Thanx kaka...........is there a school for that? would like to attend