What would you prefer?

Ain't no better school than xperience. Real life xperience, u'na mean? But I can be your life coach if you r interested.

Eehmm................... k..... I hope the fees wont be so high maana ..... u'na mean?
 

Sasa dearest mi nadhani kila sekta awe wa kiasi,chumbani akifurukuta mno inaweza kuchosha,akiwa mchangamfu tena kupita kiasi napo itabore!kwa hiyo kila kitu kwa kiasi.
Tunaweza kusomana mapema tu kny dating vicharacter kama vya ucheshi,uongeaji n.k sasa hapo kwa chumba ndo itavuta kamuda lkn napo utagundua hata thru body language yake.
 
ah! Mi nshachagua tayari so hapa hapanifit hata kidogo:bump:
 
ah! Mi nshachagua tayari so hapa hapanifit hata kidogo:bump:

We nawe kwa kukimbia kivuli ah hata sikuwezi.........................haya kila la kheri na ukunguru wako. Hutaki hata kutwambia huyo ulimchagua yu koje? wild or shy? and why do you love her?( I assume you are a HE Kaizer)
 

Duh so sometimes tunatake risk eh?? ...........kaazi kweli kweli
 
We nawe kwa kukimbia kivuli ah hata sikuwezi.........................haya kila la kheri na ukunguru wako. Hutaki hata kutwambia huyo ulimchagua yu koje? wild or shy? and why do you love her?( I assume you are a HE Kaizer)

Jinsia speculation MJ1 and u have been warned...assumptions are not welcome here...
 
wahindi wana msemo unasema

mioyo huwa ina kichaaa....

unaweza semaunampenda wa hivi,ukakutana na wavile ndoukazimia kabisa....

binafsi napenda machachari chumbani,lakini hadharani ajiheshimu....lakini awe social kidogo,asiwe na aibu sana...
 
mwanajamiione nipo curious kidogo we upo vipi????????
 

Hoa wa kwenye bold wapo siku hizi kweli!? Mimi nawapenda kweli hao wanaokuwa na aibu mda wote, katakata nyasi unamtongoza, au uma uma vidole nk. Lakini siku hizi wanakutumbulia macho kama wanajeshi wa Hitler vile, hata shela za harusi siku hizi du!
 
mwanajamiione nipo curious kidogo we upo vipi????????
mh sijui nikoje hata............. but si mpole kote ........I think though nina kiaibu flani hadharani...cha uzushi nadhani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…