Whats JK reading ?

WHEN MY OLD MAN TOLD ME THIS MAN IS NOT QUALIFY TO BE IN THE WHITE HOUSE I THOUT THE OLD MAN IS OLD AND IAM BONGO FLAVA BUT,I HAVE SEE THE MISTAKE I MADE,I REGREAT FOR MY VOTE AND OTHER VOTERS I CONVINCE TO GIVE 80
 
He might be reading this:


GT,

Hii iliwa embarass watu wa Tintin kichizi, very racist content.

Going through "The Post American World" I mut say Zakaria is brilliantly weaving patterns with credible statistics.The relief is that he posits not a "post American World" due to America's decline, but due to the rise of the rest of the world.

Nice breath of fresh air from the chorus of "The sky is falling"
 

Zakaria akichambua foreign policy anakuwa kama anaogopa ogopa, anauma na kupuliza kwa sababu Wanyamwezi wamempa Uraia na U-editor wa Newsweek. Anaogopa kuoneka ana allegiance na India kuliko US. Namwonea huruma LOL! Nadhani hawezi kuwa objective, hawezi kuchana US foreign policy bila kupuliza puliza.
 

I disagree

Morgenthau and Zbigniew Brzezinski are among the few prominent IR scholars who spoke their minds

the problem with Zakaria is his allegiance to he neo realists point of view which doesnt really work in modern world
 
Off the subject
Kipindi cha Zakaria Fareed CNN kinaanza June 1st na atakuwa anamhoji Tony Blair..kitakuwa kinaitwa GPS(Global Public Square)
 
Off the subject
Kipindi cha Zakaria Fareed CNN kinaanza June 1st na atakuwa anamhoji Tony Blair..kitakuwa kinaitwa GPS(Global Public Square)

Icadon,

Heshima yako mkuu.
Hio itakua CNN international ama ile ya humu humu!
 

Je unaweza vipi kumheshimu mtu ambaye ameshindwa kuwaheshimu wale ambao walimweka madarakani.? waliompa dhamana ya kuwatawala? Aliyeshindwa kuwajali na kuwalaghai na kuwarubuni kwa kauli za kinafiki!? Ni kweli kwamba serikali ya sasa haina tofauti na Ze Komedi Wameonelea ni bora kukaa kama hivyo maana wanawafurahisha wananchi.

Hivi ni nini maana ya kiongozi? Na ni nini maana ya kiongozi wa nchi? Maana nadhani hili haliishii katika kupigiwa kura tu na kutembea katika misafara inayoongozwa na ving'ora vya polisi!
 
JK haonyeshi kama ni msomaji wa vitabu vyamaana labda a few copies of playboy magazines na kwangalia picha x rated.He doesn't look the type at all.

Dont judge the book by just looking at its cover.. May be he reads who knows, mwenye ukaribu na muungwana atupe data..
 
I am sure he must have read several times Eric Shigongo's the president loves my wife!
 
Dont judge the book by just looking at its cover.. May be he reads who knows, mwenye ukaribu na muungwana atupe data..

Mtu anayesoma utamjua kwa hoja zake. Hili halijitokezi katika maneno ya JK. Vilevile wanazuoni wanaamini kwamba ukitaka kumjua mtu alivyo kifikira, soma maandishi yake. Binafsi sijawahi kusoma hata article kwenye gazeti ambayo imeandikwa na JK!! Sasa hii pia ni confirmation ingine kwamba mambo ya maandishi ni vitu ambavyo JK ana allergy navyo.

Hata hapa JF, ni rahisi kujua nani ni wasomaji wa vitabu na serious articles vs udakus kwa kuangalia mtiririko wa ujengaji hoja!
 
Watanzania wanakosea sana kwa kuacha na kutokuwa tabia za kujisomea vitabu...hata magazeti yente article za maana ...utakuta magezeti ya maana yanabaki mezani yale ya mizengwe dooo yanaishaa..huwezi amini wadau wenzangu tubadilishe tabia jamani tupende kusoma.......
 
I disagree

Morgenthau and Zbigniew Brzezinski are among the few prominent IR scholars who spoke their minds

the problem with Zakaria is his allegiance to he neo realists point of view which doesnt really work in modern world

GT,

Sijui kama umenielewa. Naomba kwanza nirudie nilicho sema: Fareed Zakaria, kwa sababu ni mgeni aliyepewa kazi kubwa Newsweek na Uraia, uchambuzi wake wa foreign policy unakuwa wa kuuma na kupuliza kwa sababu, kwa mawazo yangu, anaogopa backlash ya kuonekana hana allegience na US kuliko India.

Sasa, ili upangurue hoja yangu kwa kutumia mifano ya watu kama Zakaria, kama ulivyo jaribu kufanya, ilibidi unipe mifano ya watu kama Zakaria, ambao wanaongea huru wakikosoa siasa ya nje ya Marekani.

Bahati mbaya watu ulionitajia nao aidha wana sapoti Siasa za Marekani au hawasemi lolote kuhusu siasa za Marekani. Zbigniew Brzezinski alikuwa foregn policy hawk, na tunajua Siasa ya nje ya Marekani is mostly hawkish. NI hii military industrial complex ya kuwa polisi wa dunia. Kwa hiyo mfano uliotoa, sana sana una sapoti pointi yangu mimi. Mgeni ambae anashindwa kuwachana wenyeji wake. Sijui unanielewa?

Na Morgenthau, kama unamwongelea Hans Morgenthau, yule alikuwa ni theorist wa foregn policy za dunia kwa ujumla. Hajulikani specifically kwa kuichana Siasa ya nje ya US. Alikuwa anaichana zaidi Nazi Germany. Tena yule ndio cha mtoto, cha mtoto kabisa ambae asinge thubutu kuichana US policy. Kwa sababu wakati anakimbia Unazi kuja US, Marekani ndio ilikuwa inawaokoa wayahudi katika vita vya dunia. Na yeye, kama Einstein, asingeweza kuikosoa American foregn policy.

Sasa, achana na Fareed Zakaria. Angalia huyo samaki mkubwa mwingine: Lini umesikia Einstein, ambae alikuwa anaongelea sana Siasa, lini ulisikia anakosoa Marekani, zaidi ya kuiimbia sifa kwamba anapenda wanavyo jenga nyumba za mbao?
 
Suggestion kwa mheshimiwa kama kweli ana wakati lakin sometimes hawa wakuu wa bara letu(royals) wana watu special. Kazi yao kuwasomea vitabu si mnajua kuwa viongozi wetu wa bara Africa wana create ajira sana




 
WAPENZI WANA JF KAMA MNA MUDA PLS HEBU SOMENI HIVI VITABU




Na hiki kinatufaa sana kuzifuatilia vijisenti vyetu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…