what's the differece btn LLB for 3yrs and that of 4yrs b'se it's the same degree, why?

jacksonmjuni

Member
Joined
Jul 24, 2011
Posts
6
Reaction score
1
naomba wana JF wenye ufahamu na uelewa wa kina juu ya hili mnijuze kwa sababu hapa Tanzania kuhusu degree ya sheria ambayo baadhi ya vyuo hutoa kwa miaka 3 na vingine miaka 4 hiyo hiyo degree, tofauti yake ni nini kwa hao graduates with the same and similar degree?
 
Waulize Tanzania Commission for Universities (TCU) ndiyo wanapitisha hizo programs. Inawezekana ikawa ni tofauti kati ya structure za courses, umahili wa waalimu na viwango vinavyotakiwa na Chuo husika. Digrii ya sheria ya Havard siyo sawa na digrii ya sheria ya vyuo vikuu vingine vya Marekani ingawa zote ni za sheria. Mwanasheria kutoka Havard, Yale au Princeton Universities anachukuliwa kuwa na viwango vya juu kuliko aliyetoka vyuo vingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…