Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Ni kitu gani kibaya kilichowahi kukutokea mpaka sasa na hujakisahau?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
malizia ikawaje sasa mpaka sasahivi upo hai..?Kuna level ya elimu nilifeli! Stress zake sitaki kukumbuka shida haikua kwangu nilikua nawaza mama atalichukuliaje
Nilikua namuwaza yeye
Mbona we hausemi chako.....Ni kitu gani kibaya kilichowahi kukutokea mpk sasa na hujakisahau?
Ulionja ikakunogea mpaka paper uka fail? 😂😂😂Kuna level ya elimu nilifeli! Stress zake sitaki kukumbuka shida haikua kwangu nilikua nawaza mama atalichukuliaje
Nilikua namuwaza yeye
Usinikumbushe machungu Tafadhali..!Ulionja ikakunogea mpaka paper uka fail? 😂😂😂
Ana tuchora hapa..Mbona we hausemi chako.....
Tatizo inawezekana ulikosea timingUsinikumbushe machungu Tafadhali..!
Kuna muda niliwahi kufikiria nimeathirika na ukimwi ingawa nilipima nikakuta negative; niliishi kwa mashaka kwa miezi mitatu ndo nihakikishe kwamba sina kabisa. Nikakutwa negative. Kipindi iko ndicho kilikuwa kigumu kuliko vyote kwangu.Mbona we hausemi chako.....
Pole sana.....Kuna muda niliwahi kufikiria nimeathirika na ukimwi ingawa nilipima nikakuta negative; niliishi kwa mashaka kwa miezi mitatu ndo nihakikishe kwamba sina kabisa. Nikakutwa negative. Kipindi iko ndicho kilikuwa kigumu kuliko vyote kwangu.
I salute you captain ⚔️mshangazi mmoja hivi mnene mnene nikiwa namlambalamba naniliu si akanibana na mapaja yake huku kanishika na kichwa!,kiberenge wa watu pumzi ikanikata pumzi zenyewe mbili hizi nikipiga kelele hazitoki nikaona isiwe tabu nilimuuma ndo akaniachia! vibonge siwataki tena.
Je unaona hiyo level imekuathiri vip kwenye maisha yako ya sasa?Kuna level ya elimu nilifeli! Stress zake sitaki kukumbuka shida haikua kwangu nilikua nawaza mama atalichukuliaje
Nilikua namuwaza yeye
Nilipoteza muda bure ambao niliutumia kusoma kwenye level hiyoJe unaona hiyo level imekuathiri vip kwenye maisha yako ya sasa?
Usifikirie ya nyuma kama makosa , chukulia kama fundisho tu , bado haujathibitisha Kuwa Mungu yupo.Nilipoteza muda bure ambao niliutumia kusoma kwenye level hiyo
Nilifeli kwa uzembe wangu kwa wakati ule niliumia lakini sasa naona Mungu alikua na sababu yake ambayo nimeijua
Mimi nimethibitisha Mungu yupo nishakuambia hii ni zaidi ya mara 1Usifikirie ya nyuma kama makosa , chukulia kama fundisho tu , bado haujathibitisha Kuwa Mungu yupo.