Mwe!
Mwe!
mabata madogo madogo yanaogeleeeeeeeeeeeeeaaaaaaaa..........!!!!
yanalia nkwankwaaa nkwaaa nkwaaaaaaaaaaaaaaa......Bilaa viatuuuuuuuu
Katika shamba zuri la bustaniiiii.......................
yoyo jf watoto wamependeza
hasa yule kwa chini anaenikonyeza
word up good people, yaani mi niko flattered ile mbaya
oyaa unae konyeza konyeza kama vipi poa mi niko kisingle
preta,smiles pamoko au vipi.
halafu mbona mnaimba matrack ya kiskonga ya mitaa ya longi kimtindo
lakini imekaa fresh majita mnaweza
hey sweet pie rose unafanya manini maneno yangu yanakuja kwa juu ya yakwako?
ila umesomeka full,mi sio tineja mrembo mi mbona nina miaka ya kutosha kabisa yaani
halafu huwaga wanasemaga mamiaka ni manamba tu bora nini mnaridhishana ki maupendo
poa lakini uko matawi ya mbali
shkmaooo djbabu!!!!!1
yap i knw n u sound to be red in yrs
m glad abt t cz u dsplay ur maturity from a to z!!!!!!!
heshima yako mkubwa!!!!!
mhh i kweli kwerewhats up king of kings
juu t shirt chini una jeans
ooooi oooi unanikumbusha mtu wangu kwenye baibo yaani
mfalme suleiman alikuwa na mashori kibwena
big up mjita wangu