Jf kiboko 24/7 kuna wadau hope leo pia mtakesha online
happy new year hulali? Maria....!!!
Same to you Mr P!
silaliiiii wewe je?? :teeth:
Same to you Mr P!
silaliiiii wewe je?? :teeth:
mine is.....
i hate u by nanii
hee jaman ferds thank u ma dearI love you by mimiii..................., happy new year ...............hamna mabifu
dedctnI love you by mimiii..................., happy new year ...............hamna mabifu
ASUUUUUUUUUUUUUUUU WE NDO CHAGUA LANGU UUUUUUUUUUU UWE NAMI hadi mileeeeeeeeeeeeeee asuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wewe..........Jamani mimi nina wimbo wangu kila nikiutafuta siupati kokote..Naupenda sana. Uliimbwa na Abdul Misambano, nadhani unaitwa Asua...
Nikiusikia nakuwa kama nimemeza piriton!
ASUUUUUUUUUUUUUUUU WE NDO CHAGUA LANGU UUUUUUUUUUU UWE NAMI hadi mileeeeeeeeeeeeeee asuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wewe..........
pole babuAcha basi Rose...natamani kutoa machozi...Hata bibi yako anajua kuwa huo ndio wimbo wangu. Hivi naweza kuupata wapi? Please nisaidie mwenzenu!
Unajua sehemu inayonimaliza? Ni pale Misambano anaposema...
Nihurumie Asuu wangu,
kama nilikukokea,
haikuwa dhamiri yangu........(hapa mengine sikumbuki vizuri, ila anamalizia na...=
Niwe nawe hadi milele.....!
Jamani naishiwa nguvu, nahisi sukari inapungua mwilini. I really love this song!
pole babu