wadau ivi aya mamlaka aliyonayo DPP wa Tanzania vipi?eti he is not required to give reasons for withdrawal of cases, anaeza amua kufungua kesi dhidi ya mtu na halazimishwi kufanya hivo ata kama kuna ushahidi wa kutosha, na pia hawajibiki kwa mtu au mamlaka yeyote, nini tufanye kuhusu mamlaka haya?:sleepy:
wadau ivi aya mamlaka aliyonayo DPP wa Tanzania vipi?eti he is not required to give reasons for withdrawal of cases, anaeza amua kufungua kesi dhidi ya mtu na halazimishwi kufanya hivo ata kama kuna ushahidi wa kutosha, na pia hawajibiki kwa mtu au mamlaka yeyote, nini tufanye kuhusu mamlaka haya?:sleepy: