What's your worst lie you told and had to keep up?

[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] This one got me
 
Hii ilikuwa ni hatari.
 
Nikianza kuuelezea uongo wangu hapa nahisi sitamaliza... ngoja nitarudi kuuleta unaovutia...
ila Mwanaume mimi kwa uongo sijambo. Usikute hata hapa nimewadanganya[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hivi unajua mademu wa miaka 6 iliyopita nitofauti kabisa na wa sasa japo wanaweza kuwa walewale. sasa jidai kudanganya kuwa hudindi miaka hii uone
 
This qualifies to be a lie of all times[emoji3][emoji3][emoji3]
 
I'm very selective liar, when I lie, it becomes a flaw to me, so I never forget, I never mix up the lies... I can live with a lie for a decade... Hahaaaa
Hahaaaa..but remember a lie is not a lie until you lie what you have lied!
 
Hivi unajua mademu wa miaka 6 iliyopita nitofauti kabisa na wa sasa japo wanaweza kuwa walewale. sasa jidai kudanganya kuwa hudindi miaka hii uone
haahaaa nalijua hilo boss.. Na hao tuliokua tunakula sisi 6years saiv n married na singo mothers, ndo hao ambao wengi wanasema kua ssaiv wanajitambua..
 
Nikianza kuuelezea uongo wangu hapa nahisi sitamaliza... ngoja nitarudi kuuleta unaovutia...
ila Mwanaume mimi kwa uongo sijambo. Usikute hata hapa nimewadanganya[emoji16][emoji16][emoji16]
Bado nasubiria uongo wako stardust
 
When I was a child people always assumed that I am a rich girl and this kept going on for a very long time I don't know what they saw when they glanced at me but I never bothered to correct them I just went along with it.
 
[emoji14][emoji14][emoji14]
 
[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]
 
[emoji85][emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…