tehHuo nao ni ushilawadu.[emoji23][emoji23][emoji12]kweli maisha ya wanawake bila ushilawadu hayaendi kabisa
Mmmh tangu lini?Ilikuwa imeharibika.
Kwani what's up ya zamani imerudi au?Ten ile mpya iliboa maan ukiangalia umbea wa mtu mwenywe anapata taarifa looh nikaaacha kuangalia ila ss hiv mambo yote yapo mubashara kabisa
Ilikuwa imeharibika.