jaytravo
Member
- Dec 4, 2018
- 42
- 23
[emoji271]Group hili nikwa wakulima WA miti ya mitiki.
[emoji271]Lengo Nikupeana ushauri juu ya upandaji na uvunaji pamoja na changamoto mbali mbali zinazolenga maswala ya miti.
[emoji271]Pia Nikujua masoko ya ndani na nnjee.
[emoji271]Lengo Nikupeana ushauri juu ya upandaji na uvunaji pamoja na changamoto mbali mbali zinazolenga maswala ya miti.
[emoji271]Pia Nikujua masoko ya ndani na nnjee.