Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mtandao wa WhatsApp, kupitia ma-group ya WhatsApp, umewaza kuwa ni mtandao unaowaleta na kuwaunganisha watu wengi zaidi kwa pamoja pengine kuliko mtandao mwingine wowote katika nchii hii, na hivyo kufanya taarifa zinazokuwa shared kupitia mtandao huu, kuwafikia watu wengi zaidi kuliko tunavyofikiria au tunavyodhani.
Nasema hivi kwasababu hivi sasa kuna ma-group ya WhatsApp ya kila aina: ya kifamilia, kiukoo ya mashule ambapo watu walisoma pamoja (msingi, sekondari, vyuo,n.k),ma-group ya seheme za kazi na mengineyo mengi.
Ma-group yote haya,mbali na kupashana habari nyingine, hivi sasa yanatumika ku-share habari za uchaguzi zinazoendelea na kuna uwezekana hata vyombo vya habari kama magazeti taarifa zake haziwafikii watu wengi kama ilivyo kwa kupitia mtandao huu.
Yaani taarifa ambazo chanzo chake ni tv,radio au gazeti,taarifa hiyo inaweza kuwafikia watu wengi zaidi kupitia makundi ya WhatsApp kuliko ambavyo taarifa hiyo inaweza kuwafikia watu hao moja kwa moja kutoka katika chanzo husika kwa maana ya tv,radio au gazti,n.k.
Hivyo,kwa mtazamo wangu,mtandao huu wa WhatsApp unaweza kuwa ni the most effective and most useful tool katika kufanikisha mageuzi ya kisiasa katika nchi hii pengine kuliko watu tunavyodhani au kufikiri.
Uzuri mwingine ni kuwa, smartphone hizi siku hizi ziko katika bei mbalimbali kuwezesha karibu kila mtu sasa kuzimiliki tofauti na miaka ya nyuma wakati zinaingia ambapo bei ilikuwa juu na zilikuwa chache sana mitaani.
Kwahiyo ndugu zangu,hasa wale wapenda mabadiliko,tambueni tu hawa jamaa wanaohangaika kudhitibi vyombo vya habari, wanaweza kuwa wanatwanga maji kwenye kinu bila kujijua kwani mitandao hivi sasa ndio kila kitu.
Nawapa pole sana popote walipo.
Nasema hivi kwasababu hivi sasa kuna ma-group ya WhatsApp ya kila aina: ya kifamilia, kiukoo ya mashule ambapo watu walisoma pamoja (msingi, sekondari, vyuo,n.k),ma-group ya seheme za kazi na mengineyo mengi.
Ma-group yote haya,mbali na kupashana habari nyingine, hivi sasa yanatumika ku-share habari za uchaguzi zinazoendelea na kuna uwezekana hata vyombo vya habari kama magazeti taarifa zake haziwafikii watu wengi kama ilivyo kwa kupitia mtandao huu.
Yaani taarifa ambazo chanzo chake ni tv,radio au gazeti,taarifa hiyo inaweza kuwafikia watu wengi zaidi kupitia makundi ya WhatsApp kuliko ambavyo taarifa hiyo inaweza kuwafikia watu hao moja kwa moja kutoka katika chanzo husika kwa maana ya tv,radio au gazti,n.k.
Hivyo,kwa mtazamo wangu,mtandao huu wa WhatsApp unaweza kuwa ni the most effective and most useful tool katika kufanikisha mageuzi ya kisiasa katika nchi hii pengine kuliko watu tunavyodhani au kufikiri.
Uzuri mwingine ni kuwa, smartphone hizi siku hizi ziko katika bei mbalimbali kuwezesha karibu kila mtu sasa kuzimiliki tofauti na miaka ya nyuma wakati zinaingia ambapo bei ilikuwa juu na zilikuwa chache sana mitaani.
Kwahiyo ndugu zangu,hasa wale wapenda mabadiliko,tambueni tu hawa jamaa wanaohangaika kudhitibi vyombo vya habari, wanaweza kuwa wanatwanga maji kwenye kinu bila kujijua kwani mitandao hivi sasa ndio kila kitu.
Nawapa pole sana popote walipo.