INAUZWA Wheel Chair na Blood Pressure monitor vinauzwa

INAUZWA Wheel Chair na Blood Pressure monitor vinauzwa

KANYEGELO

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
2,238
Reaction score
4,885
Habari wanadau nina wheel chair mpya kabisa haijatumika naiuza kwa sh 250,000

Na pia nauza blood preasur monitor mpya kabisa 100,000 kama unauhitaji nicheck tufanye biashara
IMG_20200312_203044.jpeg
IMG_20200312_203214.jpeg
IMG_20200312_203222.jpeg
IMG_20200312_203228.jpeg


sent from toyota Allex
 
Blood prasure monitor
index(3).jpeg


sent from toyota Allex
 
Au hivyo vitu mwenyewe ameshafariki? Kwanini useme vipya wakati wewe huna duka la kuuzia hivyo vitu?
Tueleze vizuri tutoe pesa.!
 
Rafiki yangu baba yake alikutwa na kisukari. Alimnunulia BP monitor pamoja na BM monitor. Alimpa maelekezo akamwambia usingoje hali iwe mbaya.

Mzee aligeuka kuwa daktari wa kijiji. Kila anaeamka kichwa kinauma anataka apimwe PB. Mwisho rafiki yangu kila akipiga simu mzee hayupo nyumbani.

Aliniambia vile vipimo vinaweza kuvunja ndoa sasa.
 
Au hivyo vitu mwenyewe ameshafariki? Kwanini useme vipya wakati wewe huna duka la kuuzia hivyo vitu?
Tueleze vizuri tutoe pesa.!
Hapana hajafariki ilikuwa kwa ajili ya mama yangu mzazi ,wakati namnunulia alipooza kum e dogo naye kaja ameshanunua anuza pharamancy !!

Kwa hilo kuna wheal chair mbili nimpya kabisa hakuwahi kuikalia hata kidogo

Usimtabirie mama yangu mabaya plees kama hujui kitu ungeuliza...sio kuongea ili domo lionekane

sent from toyota Allex
 
Rafiki yangu baba yake alikutwa na kisukari. Alimnunulia BP monitor pamoja na BM monitor. Alimpa maelekezo akamwambia usingoje hali iwe mbaya.

Mzee aligeuka kuwa daktari wa kijiji. Kila anaeamka kichwa kinauma anataka apimwe PB. Mwisho rafiki yangu kila akipiga simu mzee hayupo nyumbani.

Aliniambia vile vipimo vinaweza kuvunja ndoa sasa.
Hahaha hivi vitu nilimnunulia mama mwaka jana , wakati nanunua mdogo wangu naye akawa amenunua alipokuja

Kumsalimia mama akamletea ...ila nashukuru alitumia kama mwezi mmoja

Akapona kabisa mpk sasa naishi naye ...na hakuvitumia maana mi nilijua itamchukua muda mrefu kurecover

Kwa hiyo hakuvitumia hata kidogo !!

sent from toyota Allex
 
Hongera kwa ninyi mnaojali wazazi wenu hadi kununua wheel chairs bila kuambiana.Sisi wote ni chakula cha udongo iwe leo, kesho au hata baada ya miaka 100.Kikubwa ni kijiandaa kiroho kwa wote waaminiao.!
Umeandika alitumia kama mwezi mmoja,sehemu nyingine umeandika hakutumia kabisa which is which..??
Mpe pole mama yako,mwambie Yesu anampenda.!
Hapana hajafariki ilikuwa kwa ajili ya mama yangu mzazi ,wakati namnunulia alipooza kum e dogo naye kaja ameshanunua anuza pharamancy !!

Kwa hilo kuna wheal chair mbili nimpya kabisa hakuwahi kuikalia hata kidogo

Usimtabirie mama yangu mabaya plees kama hujui kitu ungeuliza...sio kuongea ili domo lionekane

sent from toyota Allex
 
Hongera kwa ninyi mnaojali wazazi wenu hadi kununua wheel chairs bila kuambiana.Sisi wote ni chakula cha udongo iwe leo, kesho au hata baada ya miaka 100.Kikubwa ni kijiandaa kiroho kwa wote waaminiao.!
Umeandika alitumia kama mwezi mmoja,sehemu nyingine umeandika hakutumia kabisa which is which..??
Mpe pole mama yako,mwambie Yesu anampenda.!
Alitumia wheal chair ile nyingine ambayo dogo alikuja nayo maana ilikuwa nzuri zaidi ilikuwa na mashine ya kujitembeza yenyewe .....lkn hii niliyonunua mm hakuigusa kabisa katika kuitumia

Mama ndio nguzo na pepo ya peke hapa duniani!! Palipo na kumjali lazima ajaliwe

sent from toyota Allex
 
Back
Top Bottom