Asante mkuu, ni uzee tu siyo ugonjwa ila nilikuwa nahitaji hako ka wheelchair ili aweze kuzunguka maeneo ya karibu hata kama ni kwa kusukumwa..inaongeza ladha ya maisha kuliko kukaa sehemu kutwaa...I was looking for this thing quite sometime now..bongo kubwa lakini kwa hili nimewaza mara mbili ..bado sanaaaaa!Pole sana kwa mzee wako kupata shida ya kutembea.
Asante mkuu, ni uzee tu siyo ugonjwa ila nilikuwa nahitaji hako ka wheelchair ili aweze kuzunguka maeneo ya karibu hata kama ni kwa kusukumwa..inaongeza ladha ya maisha kuliko kukaa sehemu kutwaa...I was looking for this thing quite sometime now..bongo kubwa lakini kwa hili nimewaza mara mbili ..bado sanaaaaa!
asante ushauri unazingatiwa..ila ni mzee sana 100+ hivi haijulikani vizuri exact age..docta amesema..hakuna haja ya kulazimisha obvious..Mkuu pamoja na kumpatia mzee wheelchair bado atahitaji kufanya mazoezi ya kutembea kama uwezo wa kufanya hivyo anao.
Dear All,
Ni matumaini yangu kuwa wote mnafahamu kuwa Kampuni ya simu za mkononi ya VODACOM ilianza shughuli zake rasmi hapa nchini toka mwaka 2000. Kitu cha kusikitisha zaidi ni kuwa mpaka leo hii haijawahi kulipa Kodi ya Mapato (Corporate Tax---asilimia 30% ya faida ya mwaka).
Ombi langu kwenu na kwa Wabunge wetu ni kuwa, mtusaidie kuhakikisha kuwa kuanzia mwaka ujao wa fedha wanaanza kulipa hiyo kodi ya mapato kwa makampuni. Kwa makisikio ya kati ni kuwa kama taifa tunapoteza kama shilingi bilioni 120 kwa miezi sita tu kwa kuwaruhuusu VODACOM kutolipa kodi ya mapato. Kuna haja ya Bunge letu kufanya uchunguzi huru na kuona kiasi gani cha mapato tumepoteza kama taifa kwa uamuzi huu wenye maswali mengi bila majibu.
Well said..Hii habari ya wheel chair kama hayajakufika hutakaa uelewe umuhimu wake. Kwangu mimi mpaka wiki iliyokwisha hazikuwa zinamaanisha kitu chochote kwangu. Sasa kaja mmoja wa wazazi wetu, ni uzee pia. Mzee anadunda mwaka wa 86. Kumpeleka MOI inahitajika wheelchair walau mpaka kwenye gari, ukifika pale MOI wheelchair unazokuta unatamani kama mngekuja na ya kwenu. Kama tujuavyo Mzee hawezi kufungiwa ndani muda wote, inabidi kumtoa mara moja moja.
Sasa juzi tukawa pale Mlimani City; nilijiuliza sana moyoni kwa nini sehemu kama ile hakuna wheel chairs kwa wanaotumia.
Binafsi nashukuru kwa maelekezo yote yaliyotolewa hapa ukumbini.