When a man loves a woman

Ni sahihi mkuu, ila sio kwa wanawake wa kizazi hiki! 😅 Nikabebe masimenti kuitafta elfu 20 yangu halafu niende kumnunulia malaya viatu kirahisi tu hivyo!

Labda awe amenizalia watoto naishi nae kama wife.
 
Ni sahihi mkuu, ila sio kwa wanawake wa kizazi hiki! [emoji28] Nikabebe masimenti kuitafta elfu 20 yangu halafu niende kumnunulia malaya viatu kirahisi tu hivyo!

Labda awe amenizalia watoto naishi nae kama wife.
Wanaobeba cement wanafanya hayo
 
Mkuu, mtajwa hapo juu anaweza kuwa mama wa wanao?😅
Akiwa mama wa wanangu ni mzazi mwenzangu huyo namfanyia chochote hata ikibidi kuwa hamza wana usalama popote walipo ili tu yeye apate kufurahi😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…