Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Umenyorokaaaπ π πuzi tayari
Anajikutaa mtaalamu sanaAaaah sio powaaaa afu Girl bichwa inakuwa kubwa kama treni ya kigomaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
π π π π π washenzi sana yaaniMa mashemeji wanajua dem wako analiwa wakikuona wanakuambia "waoo shemela mnapendana wenyewe hadi raha"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
π π π π[emoji23][emoji23][emoji23]ukiambiwa hivo unataman ata upige simu nyumban uwaambie umepata love of your life
π π πTunalinda wa kwetu[emoji123]
Ndio hivyo mkuu maana na wao wanalindana tu[emoji28][emoji28][emoji28]
Wanawake tuna asili ya kuoneana wivu, kwahiyo ni nadra sana kufichiana mabaya, ndo Kwanzaa watayaanika ili umuache wamcheke,,Kila mtu ashinde na timu yake. Ata kwa girls napo ni hvyo hvyo utapambwa had ujihis Mungu alimuumba kwaajir yako kumbe mpo kama 10
π π π πKila mtu ashinde na timu yake. Ata kwa girls napo ni hvyo hvyo utapambwa had ujihis Mungu alimuumba kwaajir yako kumbe mpo kama 10
Kwa kweli mashemeji ni koyooo sanaaMashemeji huwa ni wapambe sana, wapambe nuksi
Kwenu mashemeji... Hadi sasa hajatokea bado mtu wa kuivunja rekodi ya mashemeji kwa upambe, mashemeji ni wapambe sana yani ni wapambe nuksi. Halafu tabia zao zinavyofanana unaweza kudhani lilikusanywa kundi la watu wakawekwa pamoja wakaambiwa nyie mtaitwa shemeji na tabia zenu zitakua hizi...www.jamiiforums.com
Kuamini maneno ya mashemeji inahitaji ujifanye chizi
AiseeeWanawake tuna asili ya kuoneana wivu, kwahiyo ni nadra sana kufichiana mabaya, ndo Kwanzaa watayaanika ili umuache wamcheke,,
Mashemeji hawanaga maana kabisa, wanafiki mnoooKwa kweli mashemeji ni konyooo sanaa
Umuache wamcheke au umuache uwachukue wao. Maana ninyi mda mwingne akili zenu mnazijua wenyewe tuWanawake tuna asili ya kuoneana wivu, kwahiyo ni nadra sana kufichiana mabaya, ndo Kwanzaa watayaanika ili umuache wamcheke,,