Maan! Si you're childish...Madame Nkanga will u plse join JF and get to know the people ur country is to deal with!? They had same arrogance when they entered Tanzanian market now they have shut up after a series of bankruptcy by all of their companies!
Hawa wapumbavu Magufuli ndio aliwaweza tu, hizi dharau na majivuno yao for nothing ndio yalifanya wa muombe msamaha Magufuli week nzima 😂😂😂😂
Nani kamwomba msamaha. Hiyo ilikuwa ni malumbano kati ya president mzima na raia wa Kenya. Sikumbuki nikiomba mtu msamaha hata siku moja. 🤣Hawa wapumbavu Magufuli ndio aliwaweza tu, hizi dharau na majivuno yao for nothing ndio yalifanya wa muombe msamaha Magufuli week nzima 😂😂😂😂
Nilichogundua waafrica wengi ni wajinga wanashidwa tofautisha ukweli na dharau ni kama Dada yetu wema kaambiwa ukweli hana gari hadi Kalia ni nani ambae Hajui nile ni linchi Tajiri wala hawatakiwi kakaa kimaskini vile
Hayo mabega yako yamebeba boga hapo juu ukweli ni ukweli unataka uubanie pua utoke upo laini tena nahisi wewe umenipiga gape la ujinga ukweli humuweka mtu huru utaumia lkn ndio ukweli huo tena wew unaonekana una uwoga wa ukweli haya nenda katafute helaPia nadhani wewe pia ni mjinga, unashindwa kutofautisha "kuongea ukweli" na "namna ya kuongea ukweli".
Wahenga walisema, usipojua kupeleka taarifa za msiba, utasababisha msiba.
Magufuli alilumbana na nani? Uliwahi kumsikia kokote akiongea kuhusu hilo saga la citizen tv kumuomba radhi? Marais wa Tanzania pamoja na baadhi yao kuwa na mapungufu lakini huwa sio wasema hovyo kama viongozi wenu, viongozi wenu tofauti yao na wapiga debe wa stendi ni mavazi tu!Nani kamwomba msamaha. Hiyo ilikuwa ni malumbano kati ya president mzima na raia wa Kenya. Sikumbuki nikiomba mtu msamaha hata siku moja. 🤣
Citizens ni shirika la kibiashara ya mtu binafsi. Ilikuwa lazima wajisafishe kwa ajili ya maslahi yao kibinafsi. Ya wakenya kuomba msamaha sahau!..Magufuli alilumbana na nani? Uliwahi kumsikia kokote akiongea kuhusu hilo saga la citizen tv kumuomba radhi? Marais wa Tanzania pamoja na baadhi yao kuwa na mapungufu lakini huwa sio wasema hovyo kama viongozi wenu, viongozi wenu tofauti yao na wapiga debe wa stendi ni mavazi tu!
Ila ni shirika la mkenya sio 🤣🤣Citizens ni shirika la kibiashara ya mtu binafsi. Ilikuwa lazima wajisafishe kwa ajili ya maslahi yao kibinafsi. Ya wakenya kuomba msamaha sahau!..
Eeh na sio vile mwenzako alitaka kujumulisha sio?.Ila ni shirika la mkenya sio 🤣🤣
Kwani citizen ya Uganda?Citizens ni shirika la kibiashara ya mtu binafsi. Ilikuwa lazima wajisafishe kwa ajili ya maslahi yao kibinafsi. Ya wakenya kuomba msamaha sahau!..
Eeh ni ya DRC!.. 🤣Kwani citizen ya Uganda?
Hayo mabega yako yamebeba boga hapo juu ukweli ni ukweli unataka uubanie pua utoke upo laini tena nahisi wewe umenipiga gape la ujinga ukweli humuweka mtu huru utaumia lkn ndio ukweli huo tena wew unaonekana una uwoga wa ukweli haya nenda katafute hela
Koo wewe ulitaka waachiweWatu wengine bana, mbona kipindi cha Magufuli aliposema wale wanaokamatwa na madawa ya kulevya katika nchi za watu kama ni kufungwa wafungwe au kama ni kunyongwa wanyongwe. Balozi zetu zisiingilie hilo. Mlifula kama povu la foma. Lkn sasa unajisahaulisha eti ukweli. Wewe unaujua ukweli wewe.
Citizens ni shirika la kibiashara ya mtu binafsi. Ilikuwa lazima wajisafishe kwa ajili ya maslahi yao kibinafsi. Ya wakenya kuomba msamaha sahau!..
Another individual apologizing for a sleep of the tongue. It happens.
U came with the same attitude in Tanzania where r u now?Another individual apologizing for a sleep of the tongue. It happens.
Another individual apologizing is the stupidiest arrogant deputy President of Kunyaland! Apparent a PHD holder.Another individual apologizing for a sleep of the tongue. It happens.
And yet Kenyans themselves stood up to condemn him irrespective of his position. Something that rarely happens from our southern brothers. Hapa tunajitambua mkuu, uwe wa kawaida ama madarakani ukiteleza lazima upashwe.Another individual apologizing is the stupidiest arrogant deputy President of Kunyaland! Apparent a PHD holder.