aaah vipi weye?...alipokuwa bado jela kwa kukwepa kodi, au?!
Wakuu
Hivi hapa ni JF ama nimekosea link?
mkuu TK keshapiga bao.....YOYO
Unamsema Mange Kimambi!! kukutana hata na OBAMA sio issue, issue ni una tshs au dollar au pesa kiasi gani?
Una hela??
Ndo muhimu hapa. Aisee beba mabox kwa bidii ukirudi huku utakuta hatubebi mabox na tuna drive Vogue mara X6 (Black Man's Wheel - BIMA)
We endekeza kukutana na Fresh prince of Bel air tu!
mazee hii ni celebrity forum......kama na wewe ni celeb bai jiweke humu haina kweeere.....wazee huyu shori anajitahidi sana tumpe support......kukutana na mastar wa majuu si kazi ndogo.....muulizeni nyani ngabu anamuonaga brandy kwa mbaali hawezi kumfikiaHilo pigo la Snipes ni la kivyake vyake,mmh kuna umuhimu wakuja na zeutamu mpya ili haya yoote yakaongelewe hukooooooo
yoote haya yanatoka wapi mkuu? yaaani picha tu inakufanya u hate namna hio?Akirudi ana dola 10,000 cash wakati age met zake wana drive hy 10 thou na wana vijumba 30 thous huwa wanadata na kurudi wamechanganyikiwa wanaenda olewa vibabu.....wakatege urithi pasu kwa pasu....shule hawaendi......
Huyu shori kumbe mashuhuri sana......opportunity hizi wakina Nyani ngabu wamezitafuta weee hawazipati...
kapiga bao kichizi......hater
bwaha ha ha ha Wesley Snipes kanyimwa namba ya simu....
Bossip | Gossip for the Hardcore | Black Celebrity & Entertainment News
Weee! usilete iyo mineno ,yanyewe takasirika!acha kabissa hiyooo!escort girl ...........