Hapa inaonyesha hata akiolewa mkikutana mtachapana tu!Duh nazidi kupata sababu za kujisikia fahari na ubachela wangu,sasa jamani naoa kweli hawa mabinti wa ukubwani kumbe kuna wakina Mkonowapaka huku pembeni wanakamua pia! Stress hizi za nini. Long live ubachela.
...........ikaingia sms ambayo nimeisave jina la dada yangu...naifahamu iyo namba ni ya x wangu ambae ndie hasa mwanamke wangu wa kwanza..kwamba anaolewa..
huyu binti nilimpata kipindi nimemaliza kidato cha 4 (nlijitunzajee!) ...tulipendana sana..na ndie niliebahatika kuw amwanaume wake wa kwanza.....tulidumu nae sana hadi namaliza likizo ndefu ya mkapa to chuo....sijui nn kilitokea mawasiliano yakapungua hadi kuishia kuachana lakini bila ugomvi.........ila kila tulipoonana tena TULIKUMBUSHIA...:tape2:
amefanyiwa sendoff wiki kadhaa zilizopita na arusi ni mwezi ujao.mbaya zaidi anakuja kuishi mkoa ninao ishi.mwanzoni alikua mkoa mwingine..huyu binti huwa tukionana nguvu zinatuishiaga....tunapendana sana na hataki kunisahau though anajua am comited somewhere...............am just wondering what will happen; nakadi ya arusi ananiletea PHYSICALLY NYUMBAN next week I!!....nitauwawa jamaniii!!...
...........ikaingia sms ambayo nimeisave jina la dada yangu...naifahamu iyo namba ni ya x wangu ambae ndie hasa mwanamke wangu wa kwanza..kwamba anaolewa..
huyu binti nilimpata kipindi nimemaliza kidato cha 4 (nlijitunzajee!) ...tulipendana sana..na ndie niliebahatika kuw amwanaume wake wa kwanza.....tulidumu nae sana hadi namaliza likizo ndefu ya mkapa to chuo....sijui nn kilitokea mawasiliano yakapungua hadi kuishia kuachana lakini bila ugomvi.........ila kila tulipoonana tena TULIKUMBUSHIA...:tape2:
amefanyiwa sendoff wiki kadhaa zilizopita na arusi ni mwezi ujao.mbaya zaidi anakuja kuishi mkoa ninao ishi.mwanzoni alikua mkoa mwingine..huyu binti huwa tukionana nguvu zinatuishiaga....tunapendana sana na hataki kunisahau though anajua am comited somewhere...............am just wondering what will happen; nakadi ya arusi ananiletea PHYSICALLY NYUMBAN next week I!!....nitauwawa jamaniii!!...
Hivi kumbe huwa anaamua ku-switch on and off??
Babu DC!!
kwani hao wanawake wanajikumbushia wenyewe? si na hao hao wanaume ambao tena wameshakuwa komitedi sehemu nyingine?
Hahahaaah! Mkuu tutafanyaje ndugu yangu, tuingie tu hivyohivyo.
Sawa mkuu_ila wengine hatupendi kuhesabiwa talaka ngapi tumewahi kutoa,...maake du_sijui!
wewe uliona wa nini,mwanaume mwenzio kaona anamfaa kuwa mkewe,achana na dada wa watu unataka kumvurugia ndoa yake,HUMPENDI HATA KIDOGO!na huyo mdada kama bado hajajijua thamani yake kwako ni wa kuchezewa sio wa kuolewa namsikitikia!
babu DC huyu mjukuu wako Kongosho mpaka sasa sijawahi kumwelewa. akiamua kuwa mdada anakuwa mdada kweli, yaani post zake za kidada ukisoma huwezi kuacha kuamini kuwa ni mdada. na siku akiwa mkaka hali kadhalika. sijui anawezaje? mimi ningekamatwa siku ya 2 tuHivi kumbe huwa anaamua ku-switch on and off??
Babu DC!!
Hongera zake!! Unajua nini FP, siyo kila mtu anaweza kuwa msanii ingawa wengi tunapenda sana! Pia si kila kitu ni cha kuiga. Hivi wewe umeshakutana na usumbufu wa hawa Ma-Ex? Ni watu hatari sana!!babu DC huyu mjukuu wako [MENTION]Kongosho [/MENTION]mpaka sasa sijawahi kumwelewa. akiamua kuwa mdada anakuwa mdada kweli, yaani post zake za kidada ukisoma huwezi kuacha kuamini kuwa ni mdada. na siku akiwa mkaka hali kadhalika. sijui anawezaje? mimi ningekamatwa siku ya 2 tu
uzuri wangu ex ni ex, hata aje na sura gani.Hongera zake!! Unajua nini FP, siyo kila mtu anaweza kuwa msanii ingawa wengi tunapenda sana! Pia si kila kitu ni cha kuiga. Hivi wewe umeshakutana na usumbufu wa hawa Ma-Ex? Ni watu hatari sana!!
tena wewe ndo hutatoa hata talaka moja,
hivi unajua kuwa hakuna kitu kigumu kama talaka??
Kuna dogo wangu, mke wake anapigiwa simu na mzinzi mwenzake hata saa 6 usiku...juzi kaja kwenye familia, watu wakamshauri aanze upya maisha yake..alikubali vizuri tu utadhani ni dume mwenye akili. Akaamua kumrudisha mke kwao. Haikupita hata week 2, nasikia kesharudisha mke wake eti anampenda sana kiasi kwamba hataki kuona watoto wake wanaishi bila mama yao!!
Unacheza na talaka wewe?? Ni rahisi sana kuandika na kutamka hayo maneno kwa watu wengine...ila asikwambie mtu kwamba rusha vitendo hapa....!
Ngoja niishie hapa.
Dunia imekuwa hivyo toka imeumbwa na hakuna jipya!
Babu dc!!
uzuri wangu ex ni ex, hata aje na sura gani.
Ni kweli wanasumbua sana, lakini la maana tu ni kumfanya ajue kuwa yye ni ex, there is no way akarudi. kama ni urafiki tu haijalishi (na hili nalijua sana) ila mambo mengine NO
uzuri wangu ex ni ex, hata aje na sura gani.
Ni kweli wanasumbua sana, lakini la maana tu ni kumfanya ajue kuwa yye ni ex, there is no way akarudi. kama ni urafiki tu haijalishi (na hili nalijua sana) ila mambo mengine NO