When Women Take Charge..!


Aksante DC ni kweli hata mie nimeiona na ndio hasa iliyonifanya niilete hii mada. The very same heading imetumika kwenye article hiyo iliyotolewa kwenye gazeti husika. Aksante sana kwa kunisaidia kuibua hoja zangu, nilikuwa nashindwa jinsi ya kuziweka mwe! Kweli shule muhimu. Sasa DC
1. Unaposema mwanamke anapokuwa na sauti, chance ya yeye kukutana na mumewe huwa ndogo, na umesema hujui sababu!! Mwe hapa kiu yangu imebaki pasipo kukatwa;
2. Hilo la kutingwa na kazi nadhani linaweza likatolewa maelezo likaeleweka angalau, kuwa ana kazi nyingi anachoka hadi kusupress hisia zake na sasa kama yeye ndo mwenye kusema sawa leo ndio au hapana, obvious baba ataambulia leo siyo mpaka achoke. But hilo la kuwa na say ya mwisho juu ya unyumba!! ina maana
- yeye kama yeye hashikwi na hamu? (Mf. hao waghana wanaosemwa kuwa huchukua hata siku 28 ? au
- Ina maana anakuwa na uwezo wa kupata kwingine mbali na mumewe?
 
MwanajamiiOne, if I may ask….why are you enthused about this survey, study, or whatchamacallit?
Hujagundua tu my Bro? utafiti huu unayo mengi ambayo nayaona kama hayako sawa!
1. Kama ni kweli kuwa Mj1 akiwa ndo mwenye last say juu ya tendo la ndoa na mumewe, halafu ikaappear kuwa tendo hili kwao linafanyiika mara 1 ndani ya siku 28 kuna mawili
- Either Mj1 sexual urge yake ni ndogo (kuwa hajisikii mara kwa mara)
- la sivyo kama sex urge yake na mumewe ni sawa (kubwa) then Mj1 anaamua tu kuwa mchoyo kwa mumewe so Mj1 atakuwa anacheat nje au la
- Basi mume wake Mj1 hamuombi/seduce Mj1 ili ampe (au Mj1 hasedusiki)!

Ndio maana nimeishupalia kama fisi na mzoga!
 

Ooh kumbe!

Lakini hayo ni mambo ya kawaida sana. Yapo kwenye jamii zote na yanatatiza jinsia zote. Ila nimekuelewa.
 
siku 28 si mchezo jamani kama mpo pamoja siku zote
haiwezekani kila siku yeye amechoka tu ati kisa na kazi nyingi
hivi wapi nafasi ya hisia za asili za kujisikia kutaka????
mambo mengine tunageralize sana
kabisa kabisa siamini kama hili lawezekana
labda kuwe na njia mbadala ya kujiridhisha
vinginevyo is an issue

 

Mimi wala sioni la ajabu kwenye huo utafiti. Wapo wanandoa ambao ‘attraction' ishaisha sasa ukijumlisha na pilikapilika za maisha na upungufu wa homoni za estrojeni na testosterone wastani wa mara moja kwa mwezi ni mkubwa sana.

Kuna watu wanaenda hadi miezi minne minne na zaidi bila hata kukutana kimwili seuze mara moja katika siku 28!

Sisi kama jamii hatujazoea kuyazungumzia haya mambo kwa ujahara kama jamii za Magharibi lakini ni mambo ya kawaida mno. Tena kabla hawajavumbua vile vidonge vya bluu nadhani watu walikuwa wanaenda bila kukutana kwa muda mrefu mno au hata huenda ilifikia wakati wanakuwa hawakutani kabisa.

Binafsi sijashtushwa kabisa na matokeo ya huo utafiti.
 
Ooh kumbe!

Lakini hayo ni mambo ya kawaida sana. Yapo kwenye jamii zote na yanatatiza jinsia zote. Ila nimekuelewa.

Aksante. Umeniona sasa eh na kuielewa kiu yangu ya kujua mkitu ambao sikuwa ninaujua?! Laiti ungeniona nlivyokuwa nasoma kwa mshangao na domo langu la juu nimeliacha wazi ka mlango wa bajaj ungenionea huruma. KLumbe kaka yangu unayafahamu haya,,,,,, naomba shule zaidi mwaya hapa nshachukua kalamu na karatasi.

So kadri tunavyozoeana katika ndoa ndo masijui tetracycline sijui gen nini huko yanavyozidi kupungua na kutufanya tutumie mavidonge ya bluu?? Saaasaaa duh maswali mengine najionea aibu hata kuuliza mwalimu!! Kwa hiyo haya matetracycline yanapungua kwa wenzi wetu tu ila kwa wa nje yanaongezeka? Maana kuna wababa wengine wanavyozeeka ndo eh kwa vibinti!

NN leo nisamehe tu kaka yangu

 

Hilo ambalo sikujibu nimejaribu kukupa hinti ya wanawake wa Denmark na nchi nyingine jirani...Haki ya nani wanaume wanaipata kweli kweli!! Hata sijui wataishia wapi...Labda kwa sababu wanaume wao wameanza kukimbilia vimwana wa mashariki ya mbali, labda heshima itarudi!!

Kiukweli naamini wanawake na estrogene zao waliumbwa kudisplay unyenyekevu ambao ndio unaleta mvuto kwenye mahaba, kama wale ndege wa kiume wanaotumia rangi zao au nyimbo kama attraction....Wanapohamia kwenye madaraka na mamlaka...mwee...ngoja niishie hapa kwanza!!
 

Hapo dada unaongelea tabia za kawaida tu ambazo zinatokana na nature ya binadamu....Labda kama ukitueleza kuwa wewe hujawahi kutamani chakula cha jirani yako unapokuwa restaurant!!

Biologically, over stimulation inasababisha saturation na hiyo ni katika mambo mengi yakiwemo mahaba na ngono....Ndo maana huko jandoni na unyago watu walifundishwa mbinu za kurudisha hamu kwenye mstari wake...

Kwa wale ambao tumelamba chumvi ya kutosha (hapa naongelea NaCl na siyo chumvi za vijana wa dot com), hizo 28 ni kawaida tu...Tena hawa viumbe wakiwa busy ukawaache hadi wakutafute wenyewe ndio wanaanza kukusifu kwamba unajali!!

Ila hii hadithi ni ngumu sana kueleweka kwa vijana (teens na kaka/dada zao), kwani kwao hata week moja ni nyingi sana!!
 
Yaani Mr Rocky nimebaki na maswali lukuki! Maana ukianza kuangalia kwa jicho la tatu ina maana wale wanaokaa muda mrefu bila mf. Ghana wanaishiishije kama si kucheat kwa kwenda mbele?

Sasa kama mwanamke anajifanya mkali huku anajua aliolewa kwa ajili hiyo umbembeleze wa nini? Si unaona hata wewe unashangaa, sio kawaida hiyo. Hapo akijidai kulala mzungu wa nne, we unatoka zako unaenda kukamata easy prey somewhere then unarudi zako unajifanya mkavuuuu kama dume la panya buku linavyo pretend 'linapotoka nje'.
 

Kusema ukweli kaka hii shule unayotoa ni kubw asana. Laiti watu wa kileo tungeielewa naamini kabisa tungeepusha mengi sana. Unajua siku hizi ndoa zinavunjwa (zinatafutiwa sababu ya kuvunjwa kwa sababu tu eti mtu anajiona kanyimwa haki yake?! wengine huzidai hata wakati ambao haustahili ukismea mpenzi naomba unisubirie kiduuuuchu (mf. kuna kujiswafi Kaka yangu nisamehe but imenibidi) sasa mwingine ukisema unaenda kujiswafui kwanza ili apate chakula safi anakupatia sababu, wengine wanapigwa kabisa na kunyamg'anywa kwa nguvu. Laiti kama tungeielewa hii ya ka siku 28 ni kawaida nina uhakika tungeokoa mengi sana

Ninashangaa na wazee wetu hasa wale wanaong'ang'ania mke kutoa chakula ina maana mke yeye 24/7 huwa ameshatayarisha chakula kinamsubiri mlaji?? Mbona siku nyingine baba anatoka kazini ukimwomba anasema amechoka? au ana 'too much' in his mind na tunaheshimu? Kwa nini mtuone sie kama Superwomen kkuwa tunaweza kuhandle challenges za ofisini, mabosi wetu na watoto or family chores ila wanaume hawawezi kuzihandle za ofcn na sex?

Mwe sijui nimetoka nje ya utafiti?!
 

ndyoko ndyoko ndyoko ...........unataka kusema mwanamke anaolewa kwa ajilio ya sex tu? Ingekuwa hivyo waliooa wote wangetulia majumbani mwao mpenzi wangu! Mie ninashangaa si kwa kuwa si kawaida au haki kwa mwanamke but kwa binadamu yoyote ambaye damu inachemka, yu mkamilifu na ana mapenzi na mumewe/mkewe. Mwanamke haolewi kwa ajili ya sex tu darling! Mahusiano na sababu zinazopelekea watu kuoana ni zaidi ya lile tendo!
 

Lol na wewe kaka yangu umeona nimekosea hayo makitu nimeandika matetrasaikline nawe umequote bila kurekebisa unataka Nkaka NN na kingereza chake cha Oxford aje anianike hadharani eh?!

mwaya Bro Nyani mie nlikuwa najua sana kuwa nimekosea lol
 
Lol na wewe kaka yangu umeona nimekosea hayo makitu nimeandika matetrasaikline nawe umequote bila kurekebisa unataka Nkaka NN na kingereza chake cha Oxford aje anianike hadharani eh?!

mwaya Bro Nyani mie nlikuwa najua sana kuwa nimekosea lol

Miss lady, let not your heart be troubled! I am not going to nitpick on you anymore.
 

Sisteri, mimi nadhani unajua ila unataka tu kujua zaidi. Kwa hilo hakuna ubaya wowote.

So kadri tunavyozoeana katika ndoa ndo masijui tetracycline sijui gen nini huko yanavyozidi kupungua na kutufanya tutumie mavidonge ya bluu??

Kwa mtazamo wangu mimi, binadamu tuna asili ya kutotosheka na tulivyonavyo na kutamani tusivyonavyo. Najua utakuwa unajua kuwa mapenzi ya wapenzi (wengi) mwanzoni huwaga ni motomoto lakini baadaye moto huo hupungua na kuwa uvuguvugu na kwa wengine hupoa kabisa na kuwa baridi.

Binadamu wengi ni ndivyo tulivyo. Kuna watu wameoana kwa miaka 40 lakini mwishowe wanakuja kutengana na kuachana. Mfano hapa ni makamu wa zamani wa raisi wa Marekani bwana Al Gore na mkewe Tipper Gore. Hawa baada ya miaka 40 ya ndoa wamekuja kutengana mwaka jana. Sababu waliyoitoa ni 'they grew apart'!

Sasa simaanishi watu wote wako hivyo na kwamba wote huishia kuwa kama Al na Tipper. Ila hiyo ya ku-grow apart na mtu ambaye umekuwa naye kwa muda mrefu sana ni kawaida mno. Sasa hii pia hupelekea kuanza kutamani vya nje maana vya ndani unakuwa umevizoea mno hadi unaona kama vile unapitwa na vingi na unapatwa shauku (craving) ya kutaka kuvionja.

Hayo ya maestrojeni na matestosteroni yanaendana zaidi na umri. Mimi ni mwanachama wa mtandao wa Ashley Madison. Umewahi kuusikia? Kama hujawahi kuusikia huu ni mtandao unaosaidia kuunganisha watu wanaotafuta infii. Kutokana na ufatashi wangu, baada ya kuusikia ukivuma sana niliamua kujiunga ili nione ni nini hasa kinachowapelekea wanawake kuwachiti wanaume wao.

Ona huyu mdada mwenye umri wa miaka 31. Anajiita "deprivedwife21" na hii ndiyo profile yake na preferences zake!


Unaona sasa hapo....mdada anatafuta infii kwa sababu mzee hawezi tena kazi. By inference utaona kuwa huyo mdada na mumewe hawapeani uroda wa kutosha kwa sababu alizoziainisha. Ila pia huenda huyo jamaa havutiwi tena na huyo mkewe na hivyo kuja na hivyo visingizo. Au wewe unasemaje hapo?
 

Huu utafiti ulifanywa kwa kutumia vigezo vya Kimagharibi...................................
 
Hivi MwanajamiiOne unachangiaga mada kwenye majukwaa mengine kweli? Au wewe uko ki-MMU zaidi?


na wewe kwanini unampolisi mwenzako?
full kumchunguza kachangia jukwaa gan na gani yahuuu?


habar yako nn?
 

Kwa kawaida inaonekana kama wanaume ndio wenye hamu kubwa ya tendo la ndoa ukilinganisha na wanawake, lakini ki ukweli hali hiyo inategemeana. wanawake nao huwa wanakuwa na hamu kubwa ya tendo la ndoa tofauti na waume zao, lakini kutokana na mazoea au sijui ndio mfumo dume, wanawake huwa wanaficha hisia zao na kubaki wanaumia moyoni..................Kumwambia mwanaume kuwa hujaridhika katika tendo kwa maana bado una hamu na tendo hilo wakati mwenzio keshachoka ni kutafuta muhali............. kama mwanaume hana busara, swali litakalokwenda kichwani kwake litakuwa ni , " sasa kama simtoshelezi atakuw anakwenda kwa nani?"
Yote hiyo ni kutojiamini........... Ni vyema swala la tendo la ndoa likajadiliwa kwa uwazi na wanandoa na kuondoa ombwe la kutoaminiana
 


mmmh, MJ1 mbona kauli yako inaonyesha kuwa wanaume wa huku kwetu kucheat ni jambo la kawaida?
 
Kwanza labda nijue "final say" katika tendo la ndoa maana yake nini hasa.......

Kwamba mnakaa kitandani mnaanza kutafakari kama kuna haja ya kumegana kwa siku husika

Then kila mtu anatoa hoja zake wakati vimwaga mkojo vyenu vimesimama tayari kwa vita....

Afu mama anasema NO..... na kama ndo mwenye final say, amri inasikilizwa?

Kama ndo hivyo, Mola aepushe mbali, mama matesha wangu asiwe na final say kwakuwa atapatiwa wasaidizi wake kazaa ndani ya juma moja.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…