When Women Take Charge..!

biologically huu utafiti uko sahihi. mahitaji ya ku-duu yanapishana kati ya hao wanadamu wawili
 

Mwajj1

Hii kitu imevuntia sana, nkajikuta nabandika excerpts zake kwa wall yangu FB...sinaona Tz apo, nahisi ingekwa mara tatu kwa wiki jamaa wanapiga vyombo...nonetheless nimevutiwa na utafiti wa Ghana, once for every 28 days?! duh! jamaa wagumu.
Though sample space (watahiniwa) nimeonelea imekua ndogo sana vis a vis idadi kamili ya wanandoa, hence sion kama n sahihi ku generelize out of tht kuwa nchi flan Wanandoa wako hv na hv.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…