Where is PJ..?

mayowela

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,753
Kwa wale wasikilizaji wa kipindi cha Jahazi, wiki iliyopita sijamsikia kabisa Paul James Swea kwenye kipindi cha Jahazi, pia Captain yuko china badala yake namsikiliza Wasi wasi Mwabulambo ambae aliendesha hiko kipindo miaka ya nyuma na baadae kutimkia Azam Media

sasa nauliza je Wasiwasi ndio kachukua nafasi ya Paul James PJ..?
 
come back Preta,Kingast,mwafrika wa kike, woman of substance
 

nilidhani anayetafutwa ni my super friend PakaJimmy.......Ila ngoja nimlete...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…