Where is the world going?

PetCash

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
1,997
Reaction score
2,010
Asalam aleykum (a.k.a Shalom)
Kama weekend mbili hivi zilizopita tulikuwa na kijimtoko; mimi hun wangu na some friends in pairs. Sasa jamaa mmojawapo alikuwa single na alialikwa wa hawa wadada coz ni rafiki yao. Wakati tuko kwenye mchakato wa kuogelea nikaamua kutoka one time kuchukua drinks…Ile narudi nikamkuta yule jamaa kamkiss kidogo my hun kwenye lips hadharani. Moyo ukapiga pa(hizi presha ndo cjui ukiwa mzee zinakuwa stoke?)! nashangaa watu wote tuliokuwa nao wanaona kawaida, eti ndo uzungu!
Nilipokuwa na hun peke yetu nikamuuliza, ‘I thought friendly kiss huishia kwenye cheeks?’
Akanijibu as always nacomplicate mambo kama mara zote nilizoona akiwatext marafiki zake akitumia maneno hunpie, sweetie, my love, mpenzi!
I don’t mind pale recipients wanapokuwa wa kike but hata wakiume? Hata rafiki zangu wanaambiwa hivyo! Imefikia sehemu hata nikiitwa hayo maneno I don’t spot the difference nayaona hayanifanyi kuwa any special person to her….
Ladies mnijibu please (Hata gents wenye uzoefu wao), what words do you reserve for your special one? Kiss za friends huishia wapi? Manake huu uzungu nakoma nao mbona?

 
Ooh Noo.... Lazima tofauti iwepo kati ya mpenzi wako na rafiki yako wa kawaida... Siwezi kumkiss rafiki yangu wa kawaida mdomoni.. Hata kama ndio udhungu huo mmh.. Huko amefika mbali huyo bibie. Ila kwa sababu mapenzi ni makubaliano ya watu wawili, mwambie msimamo wako, wewe unataka mapenzi yenu yaweje na mipaka ya hao rafiki zake iishie wapi. Nina hakika atakuelewa na ataacha huo udhungu wake..
 
Kama ni kawaida kwake na wewe jaribu siku moja kumkiss mwanamke as she did uone reaction yake.
 
Mmhhh kiss ya kwenye lips no hapo ni kwenda zaidi ya inavyotakiwa
Yaani hata kama ni uzungu sio kihivyo aise
Mwambie mipaka ya mapenzi yenu na ni nini unataka kwake
haya mambo ya kuiga uzungu ni noma sana
 
huo udhungu wafanye hukohuko, mbele yangu ni kutafuta ugomvi tu!
 
mzee huyo kafika mbali,hata hilo swala la kuitwa majina hata mimi cpendi kuitwa jina ambalo kila m2 anaitwa huyo ninamashaka naye mimi,mimi huwa naitwa daddy nani mimi na baba mkwe tu ndy tunaitwa hivyo akiitwa mwingine tayari nishaingizwa chaka!....
 
Anakuchanganyia mambo thio! Ndio humohumo anaingiza na mambo yao yale! Limitation inatakiwa.
 
ndo umeanza kuwa bushoke


exactly!

zilianza messages za mpenzi,sweetie etc zimekuja kiss mbele yake katulia tu?! asubiri kuletewa kitoto cha kichina hata hio itakuwa ni uzungu tu.....:A S confused:
 
Kuwa makini. Vinginevyo utakujanunua mbuzi ndani gunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…