JOHANNESBURG
NAIROBI
DARESALAAM
LUANDA
CAIRO
KAMPALA
CASABLANCA
KINSHASA
LAGOS
Accra sura mbaya kwel kwel...lakini inaweza ikakimbiza Dar...au sio?
Unaona ulivyo pumbavu? sasa ulitaja africa ya nini kama ulitaka tuwasifie?jinga ni wewe ulivyo hapo tu...watu wa kutetewa hawa...bure kabisa! leta zako sio za mwenzio....watu wa kubusu waafrika kusini miguu kana kwamba hamna lenu....mwadhani hatujawatambua..hehe!
Dar,Nai tumeshazichoka ntakua napost miji mingine tu just incase unataka waweza postDar?
Mwambie tutakula sahani moja,yeye apandishe mzuka wachezaji tupoumekosa picha za Dar? ama wewe mwafrika kusini? yaani mnachekesha kweli....ukishindwa unaanza kuleta picha za Joburg...ila najua unachotaka kufanya...thread ya January hii umeiamsha makusudi...nimekusoma mapema bro