Dadangu hakuna kitu kizuri kama maisha ya ndoa(kama ukipata ubavu wako), ila ukikosea au ukaolewa kama fasheni tu, maana siku hizi mtu anaolewa kwasababu kaona umri unaenda, au rafiki zake wote wameolewa au kafata kitu fulani(like pesa na vitu kama hivyo), sasa ukiolewa kwa sababu kama hizo hapo, stress utazikwepa vipi au utaenjoy vipi? maana hapo hakuna mapenzi ya kweli. ukimpata yule wa kwako kabisa(ubavu wako) utajiona ka uko peponi maana mnapendana kwa dhati na kwenye penzi la dhati hakuna kuumizana wala nini, ni kujiachia tu na raha!
usijaribu kubaki single, utakuwa singled for life time
Wajameni ndoa raha we acha tu....hao wanaofurahia usingle, bado wako kwen 20, wakifikisha 30s hasa wasichana wanaanza 'kutusumbua' tuli kwen ndoa zetu mara ooh 'nataka mtoto na umri unaenda' and the like,
Tangu utotoni nimeambiwa the ultimate goal for a woman ni kuolewa.Kusema kweli nilikuwa natamani kumeet Mr Right and walking down the isle but what Ive seen around me has made me wonder if marriage is for me.Sitaki kuingia kwa maisha ya majonzi na majuto like most married women I know of.Ofisini kwetu yuko mama mmoja everyday analia kwa sababu ya domestic problems.Sasa mimi nina jiuliza, haya ni maisha ya aina gani.Si heri yule mtu single who is living in peace na heshima zake than mwenye ameolewa na ako na stress zisizoisha.What is happening to the institution of marriage.Wako watu wanaozifurahia ndoa zao kweli?Ama nikuvumilia tuu nakuvaa smile fake wakilia moyoni.
Tatizo unaweza ukatafuta weeee na usipate. Sasa usipopata ufanyeje? Settle for less? No way Jose....I'd rather stay single and mingle whenever I want to....
Dadangu hakuna kitu kizuri kama maisha ya ndoa(kama ukipata ubavu wako), ila ukikosea au ukaolewa kama fasheni tu, maana siku hizi mtu anaolewa kwasababu kaona umri unaenda, au rafiki zake wote wameolewa au kafata kitu fulani(like pesa na vitu kama hivyo), sasa ukiolewa kwa sababu kama hizo hapo, stress utazikwepa vipi au utaenjoy vipi? maana hapo hakuna mapenzi ya kweli. ukimpata yule wa kwako kabisa(ubavu wako) utajiona ka uko peponi maana mnapendana kwa dhati na kwenye penzi la dhati hakuna kuumizana wala nini, ni kujiachia tu na raha!
Tafuta mtu ambae atakua kweli mumeo ndio utaona utam wa ndoa,ukipata kimeo umeliwa dadaa!!
kuna article moja niliisoma inasema "maambukizo ya AIDS kwa wanandoa yameongezeka" sasa hapo yupi kati ya single na mwanandoa anaweza kuepuka nadhani kwa single muda wote unajikinga na mwanandoa hapo utajikinga vp? Bora single tuu hapo
I'm in dillema, I don't know which is better.
na unaweza ukampata lakini ni kwa nje tu...utamu wa ngoma ni uingie ucheze.....mkiwa bado mpo mpo kila m2 ataona mwenzio ndio Mungu kampangia, cjui inakuwagaje, ngoja muingie ndani...mambo kibao! nimetokea huko mie, niliona wangu ni mr rite kweli kweli...lakini mambo kumbe mseto mseto...hajatabiriki....ni kuomba Mungu tu.....ndoa ni tamu na kuna machungu yake pia....cdhani kama kuna mtu yupo perfect so ni suala la kuchukuliana mlivyo tu but yaczidi uwezo.
Tangu utotoni nimeambiwa the ultimate goal for a woman ni kuolewa.Kusema kweli nilikuwa natamani kumeet Mr Right and walking down the isle but what Ive seen around me has made me wonder if marriage is for me.Sitaki kuingia kwa maisha ya majonzi na majuto like most married women I know of.Ofisini kwetu yuko mama mmoja everyday analia kwa sababu ya domestic problems.Sasa mimi nina jiuliza, haya ni maisha ya aina gani.Si heri yule mtu single who is living in peace na heshima zake than mwenye ameolewa na ako na stress zisizoisha.What is happening to the institution of marriage.Wako watu wanaozifurahia ndoa zao kweli?Ama nikuvumilia tuu nakuvaa smile fake wakilia moyoni.