Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
😂😂 NitajaribuBado ajaingia ndani kwa dark we itest utakuja kunipa thanx hap
Ok mkuuKuna njia ya kuforce kwenye developer settings Android 10 nimeiona
Buluu ni best kwangu.
Fb unawekaje mkuu?Dark mode ndo nqikubali yaan kweny fb natymia dark mode sms zangu za kawaida natumia dark mode hata whatsapp pia yaan natman apos zote zngekua na iyo option
YesUnataka uiweke jf in darkmode au?
DittoMi natumia dark mode
Iko vyema sana.
Ninatumia appUnatumia app au tovuti y jf