which is the best university in tz?

Hakuna chuo best tanzania. Kila chuo kina mapungufu yake. Labda uulize chuo gani kina mapungufu kidogo.
 
hi there! which is the best university in tanzania and the best course ,nimemaliza form 6 na nilikuwa nasoma combination ya eca.please members help me ...

subiri matokeo yako yakitoka best utajua course ipi ni best na chuo kipi ni best
 
Eckenfordë Tanga university ni chuo bora kuliko vyote katika Tanzania!
 
Best katika nini mkuu? Majengo? Kufundishi? Migomo? Kama kufundisha hata vyuo vya mitaani vipo wanaweza wakakufundisha na ukawa mzuri. Kama Majengo mazuri nenda UDOM.

ILA KAMA UNATAKA KUSOMA UNIVERSITY NENDA UDSM.

aah aah kama anataka university.....
 

Mawili, ushabiki na hisia ulizonazo juu SAUT au hauna takwimu. Hapa Tanzania hakuna chuo kinachowazidi wazidi wahitimu wa UDBS au FCM zamani kwa ufaulu kwenye mitihani ya NBAA.
 
Umejitakia mwenyewe, angalia wanavyokukejeli. Tumia mtandao huu tafuta Bachelors Course Business au Commercial Studies Tanzania, au gonga Accounting Degree Courses tanzania, finance etc. Tembelea tovuti ya TCU wana orodha ya kozi zote zitolewazo katika Vyuo VIKUU Tanzania. Chuo gani Best! Universities sio kama primary and secondary schools! Zile ranking wanazotoa hazihusiani na ufundishaji bali ni uchapishaji wa majarida ya kiweledi na wahadhiri wa vyuo.

Lakini nikuchomekee hii- Ardhi University wanazo kozi mbili zenye mvuto sana Bachelors Degree in Accounting and Finance na nyingine Bachelors in Community Development pia wanayo ya BA Economics, na kama utakuwa umepasi hesabu unaweza ukajipiga kifua kwenye BSc ya Real Estate Finance and Investment au BSc Property and Facilities Management(lakini naona unaogopa hesabu!)
 
Mawili, ushabiki na hisia ulizonazo juu SAUT au hauna takwimu. Hapa Tanzania hakuna chuo kinachowazidi wazidi wahitimu wa UDBS au FCM zamani kwa ufaulu kwenye mitihani ya NBAA.

Mwoneshe takwimu nadhani ndo utaaminika zaidi.
Kwa mi nnavojua hata huyo Dr.masoud wa Udbs amesota miaka kadhaa na amepata CPA mwaka juz nadhani pamoja na Udocta wake na ulecturer wake sijui unasema nini kwa hilo.
 
Mi nadhani aende Mzumbe aliposoma mkaguzi mkuu Bw.Ludovick Uttoh.
Otherwise soma chuo chochote utachopangiwa na Tcu then weka bidii yako binafsi coz hata uende chuo gani ukiishia kusinzia au kujirusha bila kujibidiisha kimasomo utaadhirika!.
Ukiamua mwenyewe kwa dhati yote utayaweza.
 
Hivi ndizo sifa za vyuo vya bongo utaangalia usome wapi

1.kama unapenda utozi na kuuza sura na kuangalia masistaduu----ifm,cbe,tumaini na mzumbe
2.kama unapenda kuandamana na unapenda migomo----udsm na udom
3.kama unapenda kusoma na ukimaliza hupati shida ya ajira---dit,coet and mist plus muhasss
4.kama hupendi kusoma na unapenda kupiga starehe halafu siku za pepa unafaulu ili mradi umemaliza ada--sauti,mzumbe,iia,learn it,kampala na tumaini
5.kama unapenda kusoma chuo huku umevaa uniform----veta
sasa angalia unapenda wapii
 
kwa combination yako ndugu, nakukaribisha Chuo Kikuu Mzumbe. vyuo vingine vyote, vinafuata tena kwa mbali! huku tuna BAF, BBA MKT, BBA PLM na BBA ED. unaanza ku-specialize ukiwa mwaka wa kwanza, achana na vyuo ambavyo mpaka unachaguliwa hauijui future yako.
 

mzumbe kiko wapi,maana hata cjawah kukckia?
 
U have said it all!
 

Mkuu CoET is the subset of UDSM
 

mkuu sisi tuliosoma ardhi university tunaangukia wapi hapo?? Hahahahahahaha
 
kama unapenda kusoma chuo ukiwa gorofani unaangalia wauza sura na watu wanaopenda kuzuzura mlimani city----arthi university
 
UDSM is the best. Utasoma kwa shida yaani yuo have to be serious lakini utatoka umeiva kisawasawa. Go for UD.
hi there! which is the best university in tanzania and the best course ,nimemaliza form 6 na nilikuwa nasoma combination ya eca.please members help me ...
 

unaweza kunipa ofisi kadhaa hapa Tanzania wahitimu wa hiyo bsc in property and facilities management wanapofanya kazi? Kuhusu bsc in real estate finance sihoji kwani kuna kijana kasoma masters yake na ni mtaalamu wa mortgage finance anakula ela nzuri.
 
Yaani bongo tuna safari ndefu sana, yaani kusoma kwa shida ndo chuo kizuri kwa kufanyishwa mitihani migumu, nani amekwambia havard wanadisco watu na wanaoenda sio kama mnavyodhani, elimu bora ni kukujenga kuweza kupambana na changamoto za maisha, that's why usa wanaongoza kwenye higher learning japokuwa tenager wa huko ni goodtimes and having fun daily, to prove this hata watoto wa big families nyingi wanasoma usa na wanaleta changes nchini kwao, check wikipidia family like toyota their kids wanasoma wap, dada mwenye htc company na wengineo kibao, elimu sio kufanya mitihani migumu wadau
 

u'v said a point mdau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…