Whistleblower: Kashfa nzito suala la sukari, wamo vigogo wazito

Huko whistleblower huku polepole huku Bandari na kampuni feki ya meli nk

Kila jipya likiibuka la zamani linasahaulika
 
Yaani mumekuwa wepesi wa kuamini udaku kutoka kundi la wahuni.
 
Hivi tangu lini uliona mtu akiziba tundu la choo kabla ya kukamilika choo kipya?.Hakukuwa na sababu ya kulazimisha sukari ipande bei kabla ya viwanda kukamilika.
Utetezi wako ni ujinga tu pia.
 
Kuwapa NSSF kazi ya kujenga kiwanda cha sukari ilikuwa ni kukaribisha ufisadi.
Magu alitaka waache kuwekeza kwenye majuba wahamie kwenye kuzalisha sukari.Akitaka uzalishaji wa sukari uongezeke kwa kiwango kikubwa,pia alimuongeza Azam kama eka elfu nane au zaidi kwa kazi hiyo hiyo ya kuzalisha sukari.
Kumbe behind the scenes ndio hawa Mtibwa na Kagera Sugar na labda kuna wengine wanatuchezea likembe.
Dawa yake ni kuwaruhusu wawekezaji maarufu kutoka Brazil waliokuwa wamewekewa kauzibe na taasisi zetu,kwa maslahi yao binafsi wazalishe sukari ya kutosha.
 
Miaka saba baadaye...
 
Ujinga na upumbavu wako ni laana kwa wazazi wako.
 
Umeongea maneno mengi,lkn hujasema chochote.hebu weka hata ushahidi kidogo.
 
Waziri Mkuu haondolewi kirahisi tu kwa hisia zetu tu, ni mtu mkubwa sana na naamini SSH kumteua Biteko nia ni hiyo ya kumpunguza kazi kaka Kassim.

Naamini SSH ni kiongozi mzuri kwenye mikakati ya mapambano ya chini kwa chini, ni mwanamama hivyo moja kwa moja anazifahamu siasa za vijembe, umbea na masuala yote ya unafiki wa usoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…