white blood cells

Nikikuambia kuwa ukipima tena hospitali nyingine, namaanisha kwa mashine ingine, na ingine , ingine, na...
waweza pata majibu tofauti?
Mesej ni kuwa hizi mashine zinatoafutiana napia zinatakiwa kufanyiwa service na calibration from time to time.
I again I say medics does not treat lab results, they treat patients.
 
Kwa sisi wa lab tunafahamu kuwa kuna Haematological Analyser aina nyingi eg Pentra80,Micro60 nk hivyo zina reference range tofaut ila kama una Leucopenia itakuambia tu tofauti zake nizakawaida tuu pia lab ndio wanaweza kukupa majibu ya uhakika
 
Poor you.
lab ni scientific proof?
Labda hujui maan ya scientific proof.

... Punguza hasira mkuu !

Kwa faida ya wengi tu lab investigations ina play part ONLY 25% ya kufikia diagnosis. 75% ni kutoka history ya mgonjwa na findings za clinician. Vinginevyo hivi vi-dispensary vya vijijini kwa babu zetu visingetibu [zahanati nyingi za serikali hazina maabara].
 

White Blood Cells(WBC) Count ni kipimo kipana na si specific kwa ugonjwa fulani, ikibainika kuwa kuna low count ya WBC hapo ni mwanzo wa kufanya vipimo zaidi na physical examinantion kujua sababu za kuwa na low count, daktari lazima afanye juhudi za kutafuta sababu ya hiyo low count, pia differential count kujua aina ya cells za WBC zilizoathirika (angalia maelezo ya Mkuu Riwa), maradhi yanaathiri aina moja, zaidi ya aina moja au aina zote za WBC, kwa jibu la haraka kugundua kuwa una low WBC count hapo ni mwanzo wa kufanya vipimo na clinical evaluation kiundani ili kupata ugonjwa uliosababisha hilo, kuna condition lukuki, hata zaidi ya 100 zinazoweza kupelekea hali hiyo, so kubaini low WBC count ni mwanzo tu wa safari, Ndg Kidafu tafadhali rudi kwa daktari mpaka mchawi apatikane.i
 
Na ndio.maana ufanisi wa kutibu mgonjwa upo very poor vijijini..people dies..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…