White Party ya wabongo

mwaka huu unalo mpemba.......kiti kishalowana hicho amka ujiangalie.....
 
Ooo Mange Kimambi.....mashine yake ishaenda mileage sana hiyo hadi imeota sugu...siitaki mimi

We unaona mileage wenzio waweka ndani kabisa......kaolewa, semeni tena sasa, msivo na haya za uso
 
wangefanya under auspices ya charity fulani hivi you know something proper..somewhere kama Gymkhana club watu wacheze polo wanetwork na kadhalika ndio ma middle class wetu hao

GT, middle class si ndio nyinyi na rafiki zako na hao jamaa waliovaa white kwenye hiyo party!!! Na muungwana anataka nyie ndio muishike nchi!!! Hamna mbele wala nyuma kazi yenu kuiga tu mambo toka ulaya na Uarabuni!! Wengine wanajifanya waswalihina huku nyuma kumbe ni mabaradhuli na wengine ndio hao wa kufanya party za nguo nyeupe ili mradi waonekane eti nao wamo!! Shame on you!!! Fikirieni vitu vingine vya maana vya kusaidia jamii ya wadanganyika inayoteseka usiku na mchana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…