mwaka huu unalo mpemba.......kiti kishalowana hicho amka ujiangalie.....Sasa hii thread imeshaingiliwa na lida wa ze utamu Yo Yo. Wangeleta wengine hii list ya kamanda Liyumba ungeona anavyobwabwaja.
Nways tatizo la wabongo wakishapata exposure kidogo kazi yao ni kupondea tu...lakini ukiangalia kwa undani tatizo lao ni kawivu ka-kike. Eti mwingine anaifananisha hii party na ya P.Diddy my a$$..kama mmekosa nauli ya kurudi bongo semeni sio mnapondea tu..
Ooo Mange Kimambi.....mashine yake ishaenda mileage sana hiyo hadi imeota sugu...siitaki mimi
wangefanya under auspices ya charity fulani hivi you know something proper..somewhere kama Gymkhana club watu wacheze polo wanetwork na kadhalika ndio ma middle class wetu hao