Who can drink first?: Hii ni kwa ma genius tu.

Midozenj01

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2014
Posts
410
Reaction score
395
Je ni namba 1, 2, 3 au4? Kama wewe ni genius kweli tunaomba utoe jibu kwenye hii picha.
 
Kifupi ni#4.
Hapo tunaangalia botom ya kipenyo cha mrija. Hiyo pombe itapoanza ku flow, itaanza kupita kuelekea kulia.
Na huyo #4 ndiye chombo chake kitaanza kujaa.
Uongo, kweli?
Wanne kazibiwa mkuu
 
Alieshika ndo atakunywa hao vikatuni wataaangalia.....akili za boomerang .....Hata hivyo hakuna cartoon yeyote itakae mfikia si 1 2 3 wala 4
 
Vikombe vyote vimefunikwa... Hakuna atakayekunywa.
 
2 pekee labda na aloshika kinywaji[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
It's number 4 just fact that pressure of the liquid is affected by depth of the container liquid in it.
 
Wrong answer
Every tube is blocked, even the cups
So the answer is NONE
Nope, thanks for minding me, I looked the picture again the only one who will drink is no 2 coz it's the only one whose tube is opened Assuming that the cups are all open
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…