Mie mmeshanicha phemba nalugha mchanganyiko hapanimepa kwabahati mbaya.Mungu amekuwa shemeji yenu?Nauliza!
Ndio kile kile nilichokieleza, huku ukiwa unaelewa hoja yangu ya msingi ni nini. umeachana na hoja hiyo umerukia kwenye mambo mengine.
Urahisi wake ukoje?
Approach sahihi ni hii.
1. Kwanza, Mungu Mwenyewe ndio anatakiwa approve uwepo wake, kutokea kwenye Biblia, kuna maandishi ambayo yanaonyesha kwamba yuko tayari kuwa challenged anasema "njooni tusemezane" na maeneo mengine mengi tu.
2. Pili, tukubali kwamba, kutokea kwenye Biblia, Yeye Mwenyewe Mungu athibitishe kutokea kwenye maandiko yake juu ya yale yote yanayobishaniwa juu yake, uwepo wake, nani kamuumba n.k
Ukifikia hapa, basi inabidi watu kama kiranga wawe tayari kuwasilikiza wale wanaompresent Mungu wanahoja gani, kwa approach zao wenyewe, approach zinazoeleweka lakini sio za kulazimishana na kusingizia imani kama wengi wanavyofanya.
Ndugu, unajua hata unachokiongelea?then it becomes simple to prove it.
Hoja yako ya msingi ni kwamba sina focus, nimekubembeleza karibu ya kukuramba mavumbi yaliyo katika viatu vyako unioneshe ni wapi na vipi nimekosa focus ili nitengeneze njia zangu na kuongoka.
Umeshindwa. Unarudi kwenye majibu ya jumlajumla.
Unaanza kunifanya nielemee kwenye upande mwingine wa maneno yangu.
Kwamba siye mimi ninayekosa focus, ni wewe unaye focus too much mpaka unapoteza context na big picture view.
Sio mimi ninayeleta too much information, ni wewe ambaye unaleta too little information.
Kwa anayekuja, anayekwenda anaonekana anakuja.
Nakujibu kwa ujumla, somewhere kwenye post yangu nimetumia neno wanaompresent Mungu, unless uniambie ulitegemea niliposema Mungu Mwenyewe approve basi ulitegemea yeye mwenyewe aje hapa kuanza kuweka posts JF. I will do this Job diligently on his behalf.
:biggrin1::biggrin1: Kusema useme wewe kwamba ni rahisi kuthibitisha uwepo wake halafu unakuja kusema tena kwamba ni jukumu lake yeye (mungu huyo) mwenyewe kuthibitisha uwepo wake? Hivi unaona hata unavyojichanganya ama huoni?
Nimejitahidi kujaribu kukuelewa lakini nimeshindwa!
Hapa ndo umenipoteza kabisa.
Ndugu, unajua hata unachokiongelea?
:biggrin1::biggrin1: Kusema useme wewe kwamba ni rahisi kuthibitisha chochote kile kuhusu mambo yake halafu unakuja kusema tena kwamba ni jukumu lake yeye (mungu huyo) mwenyewe kuthibitisha uwepo wake? Hivi unaona hata unavyojichanganya ama huoni?
Nimejitahidi kujaribu kukuelewa lakini nimeshindwa!
Hapa ndo umenipoteza kabisa.
Ndugu, unajua hata unachokiongelea?
That one along with any supernatural godhead.
I'm agnostic. :biggrin1:
:A S confused:
Are you really?
Tuondoe Ubishi.
Niko tayari kuprove uwepo wa Mungu,
uko tayari kunisikiliza?
kama uko tayari hakikisha una access na Biblia kwa sababu ndiyo nitakayoitumia,
nataka uwe na biblia ili kama nitafanya quotation yoyote kutoka huko na wewe uisome mwenyewe ili kupunguza wingi wa maneno.
Infact nitatumia Biblia na Logic
kutegemeana na basis of proof nitakayoitumia.
Kama uko tayari nieleze.
I'm agnostic. :biggrin1:
:A S confused:
Agnostics are really indecisive atheists in most cases if you check the matter deeply.
More so reasonable than indecisive, I would argue.
More so reasonable than indecisive, I would argue.
Fence sitting (whether due to apathy or lack of enough knowledge) is not reasonable, it is shying away from the question.
If one was to adopt fence sitting as the more reasonable approach, no question would be settled.
Kwani somo la mwanzo halieleweki? Hapo mwanzo kulikuwa na neno.....