Kwa maana hiyo ni imani mbaya?, hivi hapo redi upo sahihi kweli.Hapa Tanzania imani hii ililetwa miaka ya mwanzo ya 1990
sasa hapa wakristo wamekukosea nini? si uwaache na ubabaishaji wao?
wapo pia wanaoamini mungu ameumbwa na binadamu na wapo pia wanaoamini uislamu ni dini ya shetani, sasa kwa nini wewe ujione bora unachoamini kuliko wengine?
na usisahamu wapo wanaoamini kwamba dini ni uongo na ulaghai unaoelekea kupitwa na wakati.
akili za kiccm zimeharibu ubongo wako hadi umeoza.
foolish post for special foolish people and you're the one of them, that's why uko hapa na umecomment. wewe ni foolish namba one.Foolish post, special for foolish people. Kumbuka kila asiyeamini uwepo wa Mungu huyo ni Fool.
Fikiria hili, kuanzia kwako unafahamu hata majina hadi kizazi cha ngapi nyuma yako?, wengi wakijitahidi wanaishia kufahamu jina la babu wa babu yake, vipi uelewe kuhusu chimbuko la MUNGU kama tu hujui mtu wa 10 toka kwako aliitwa nani?????????.
Kumbuka hili, hata kungekuwepo na maendeleo makubwa kiasi gani ya kiteknolojia, Mungu bado asingechunguzika.
huweji kumfafanua Mungu kwa sababu yeye ndie aliyekuumba wewe! you can't define your maker.
Wakristo wengi duniani mnazidi kupoteza imani ya Mungu kwakuwa imani yenu imejengeka katika misingi ya ubabaishaji. Wengi ndio mnahoji uwepo wa Mungu, dhati yake na mengneyo ambayo kimsingi hamtopata majibu zaidi ya kuwa confused mwisho mnapoteza imani ya Mungu kabisa. Na mara zote kwa takwimu zinaonyesha watu wasiomuamini Mungu kama philosophers, psychologists and other great scholars wanajiua kwakuwa confused na mambo haya ya Mungu. Wanajitahidi kutengeza nadharia tofauti tofauti kuhusu Mungu lakini kuna point wanashindwa kuifikia finally they kill themselves. Pigana na shetani asikuhadae na kuwa na fikra chafu kama hzi za kuhoji uwepo au aliyemuumba Mungu.
Pasi na shaka wewe ni namba two.foolish post for special foolish people and you're the one of them, that's why uko hapa na umecomment. wewe ni foolish namba one.
Kama huwezi kumfafanua utajuaje kwamba yupo kweli na si hadithi tu?
Kama huwezi kumfafanua utajuaje kwamba yupo kweli na si hadithi tu?