Who influenced Nyerere: His Ujamaa Philosophy and Azimio Principles?

what about "DUCHE" of Kim il sung (DPRK)?, naona kama yote alikopi huko "ujamaa na kujitegemea".
 
GT,
Nadhani kuna mahali Companero kasema kaiandika mwenyewe. Kama ni hivyo basi kama kaiandika mwenyewe accademically akishakupa source utajua who he is, au?

Akiindika mwenyewe hahitaji nukuu ya wengine?
 
bevic@rocketmail.com
 
Mama Joan Wicken,Mshauri wa Rais,right hand person wa Rais,alikuwa member of the Labour Party.
 
Kuhusu ujamaa wa Nyerere kufail,ni kwa kuwa hakukuwa na base?Nyerere haku adopt Ujamaa wa kidemokrasia japo focus yake ilikuwa kwa nia njema sana.

Hata China awali ilidumaa kiuchumi kutokana na sera za Rais Mao ,Mao aliamini sana Ujamaa wa Kikomunisti.

Waziri mkuu wake,Zioping alipojaribu kumkosoa kuhusu aina ya Ujamaa uliotakiwa kuwa ulipaswa kuwa wa Kidemokrasia unaoruhusu ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi ya rasilimali zao.

Zioping aliishia kuwekwa Jela ,alifungwa Mara tatu akipigania ujamaa wa Kidemokrasia unaoruhu uwekezaji.

Baada ya Rais Mao kurariki Dunia ,China ilitafuta mtu anaeweza kuiondoa China kwenye Mkwamo,wakakubaliana kwenda kumpigia Magoti Zioping,alikuwa Kijiji akiwa fundi wa Matrekta.

Akarejea madarakani na kufanya mabadiliko makubwa yaliyofanya China kuruhusu Makampuni ya Kigeni kuanza kuwekeza China,ni kwa msingi huo China ikajikwamua kiuchumi na kuwa China ya sasa tunayoiheshimu...
 
Kwa tafsiri ya haraka tulitakiwa tumtafute Kambona na kumpigia magoti. Na sio kumuita haini. Kama ilivyokuwa miaka hiyo ya kawawa mfuata upepo. Yote kwa yote ni muda muafaka sasa kufanya mapinduzi ya kifikra kisha tutambue kuwa Tanzania ni yetu sote na sio ya wanabagamoyo kama ilivyo sasa.
 

neno kubwa hilo........kuna laana zipo tu na watanzania na vizazi vyao; kuna vizazi viliingizwa chaka na kudanganywa sana; viliimba mchakamchaka , vilitukana na kulaani ili hali walikuwa wamedanganywa

aibu!
 

Almost 7 seven years now. Tell me how things are moving down there?
 
Nyerere alikuwa akifuatilia mrengo wa Labor akiwa Uingereza lakini aliye mu influence UJAMAA ni AbdulRahman Babu.
 
Nyerere alikuwa akifuatilia mrengo wa Labor akiwa Uingereza lakini aliye mu influence UJAMAA ni AbdulRahman Babu.

Lakini akamtelekeza sana Babu na Hanga. Na kuruhusu wapotezwe na Manyang'au.Inaniudhi sana historia hii
 
Lakini akamtelekeza sana Babu na Hanga. Na kuruhusu wapotezwe na Manyang'au.Inaniudhi sana historia hii
hakuwatelekeza mkuu ila hakuwa na jinsi na ndio maana alisema ule ujumbe kama angekuwa na uwezo angekisukuma kisiwa kizima cha Zanzibar mbali huko katika kati ya bahari kwa sababu Km70 ni ndani ya Uzio wetu wa kiusalama (200 Km) huwezi kuwakimbia. Ujue ilikuwa kazi kubwa kuwapatanisha ASP na watu wenye Ukomunist ama asili ya Kiasia Unguja.

Kwao baharia Karume alikuwa hafai kuwa rais (Elimu) lakini upande wa pili Karume naye alikuwa mtoto wa kihuni, alijua ni swala la muda tu Umma Party na wasomi watamshusha ikabidi aonyeshe kifua na makucha yake. Kikatiba Zanzibar walikuwa na mahakama zao, Nyerere asingeweza kupindua maana mapinduzi mengine ya Zanzibar ndio yangekuwa Mapinduzi ya Muungano. Kuna tuhuma za kijasusi mitaani enzi hizo zilisema Nassoro Moyo ambaye alikuwa kundi nao ndiye alomtonya Karume sijui kama kuna Ukweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…