Hacker ni mtu yeyote anayetumia technolojia(computer)aidha kudhuru kompyuta zingine(kutengeneza programu haribifu kama virusi),kuaksesi na kuingia kwenye web site zisizomhusu na kupata habari za siri za watu(kutumia password za watu kiujanja ujanja)hizo ni baadhi ya sifa za hackers,kwa ufupi hawa watu ni wataalamu wa kompyuta ila huitumia kwa kuharibu zaidi na si kujenga