Ninamfahamu kiasi. Sekondari alikuwa Milambo kwenye 1990's, baada ya hapo UDSM, na ni mnyalukolo kutota Iringa. Kazi TGNP na ni mshiriki mzuri Wa makongamano yenye mielekeo ya kutetea haki za kijamii. Hata Mimi namkubali kuwa jamaa ni kichwa na ni hazina ya baadaye kwa nchi hii
<br />yes, umenena sawia kabisa!<br />
Nilikuwa nae Milambo secondary, Tabora kwenye miaka ya 1990 - 1992 A LEVEL,<br />
alikuwa anasoma HKL, baadae akaenda Mlimani, Political science.....................<br />
sasa nadhani yupo TGNP!!!!!<br />
Ni mpiganaji mzuri, alikuwa kiranja wa msosi alipokuwa milambo!very strong na muongeaji sana...............
<br />yes, umenena sawia kabisa!<br />
Nilikuwa nae Milambo secondary, Tabora kwenye miaka ya 1990 - 1992 A LEVEL,<br />
alikuwa anasoma HKL, baadae akaenda Mlimani, Political science.....................<br />
sasa nadhani yupo TGNP!!!!!<br />
Ni mpiganaji mzuri, alikuwa kiranja wa msosi alipokuwa milambo!very strong na muongeaji sana...............
yes, umenena sawia kabisa!
Nilikuwa nae Milambo secondary, Tabora kwenye miaka ya 1990 - 1992 A LEVEL,
alikuwa anasoma HKL, baadae akaenda Mlimani, Political science.....................
sasa nadhani yupo TGNP!!!!!
Ni mpiganaji mzuri, alikuwa kiranja wa msosi alipokuwa milambo!very strong na muongeaji sana...............
Deus Kibamba,Renatus MKINGA VICHWA HIVI NI BALAA.
yes, umenena sawia kabisa!
Nilikuwa nae Milambo secondary, Tabora kwenye miaka ya 1990 - 1992 A LEVEL,
alikuwa anasoma HKL, baadae akaenda Mlimani, Political science.....................
sasa nadhani yupo TGNP!!!!!
Ni mpiganaji mzuri, alikuwa kiranja wa msosi alipokuwa milambo!very strong na muongeaji sana...............