Who is Maharage Chande?

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
Wakuu naombeni CV ya huyu kibopa wa zamani wa Standard Chartered Bank, then Vodacom na sasa NMB ni mtaalamu wa IT na amehusika katika kuchakachua kura kwa kutumia utaalamu wake uliobobea wa IT kwa kushirikishwa na TISS...
 
You better be sure about Maharage Chande, facts please?
 
Yupo nbc sio nmb, ni coo pale nbc. Jamaa ni kweli amehusika na uchakachuaji.....tunajiandaa kumfile kesi mahakamani ambayo itamrudisha ground zero. Stay tuned
 
Mchungaji haujatulia unahitaji ban nini maana wafungwa wamezoea zela maisha ya uraiani hawajayazoea kabisa watabaka hata kuku warudishwa walikozoea

Kwanini mkuu wangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…