Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.

Hana tofauti yyte na huyu lara1 walewale kutafuta cheap popularity tu
She cud have made more money differently I blv basi tu ndo akili Zhao za mgando hzo
Kumsifia hawara Wa babake wakat mamake anakufa na umaskini tandale
Kujifanya ana namasters kumbe vyuo vya uchochoroni
The thing is wanadani sisi kusoma hz so called st kayumba basi we never connect some dots
Huyu ---- lala anataka kutushika maskio wakat watu wana full non do
kama haamini ajaribu tu kutaja jina lake kamili aone waTu wanavyompa details anajiuza wapi anafanya ishu gani na uswahilini kwao ni wp
She won't blv me sababu najua hajasoma udsm kama anavyojisifia n pipo knows so hana cha zaidi ya kutafuta umaarufu mavi humu jf
 

Hivi kwanini msifanye partnership muanzishe blog yenu ili mle hela ya wadhamini kama le mutuz alivyofanya.maana humu mnatumia nguvu kubwa mnaishia kupewa like tu
 
SASA ASITUZUGE ANASUBIRI KWENDA COLLAGE! Aseme mtu mie Leyla shule staki nataka niuze bar nitoe blow jobs za uhakika niingize mkwanja! Kwani tunamdai? Hahahaaaaaa!
we ndio unaona anazuga, ila yeye anauhakika na anachokifanya. Usimseme vibaya motto wa mwenzio kwa kupendezesha ushoga hujui kesho Mungu akikujaalia mototo atakuwa na tabia gani, kulea hakuna ufundi ni kudra za Mwenyezi mungu zinahitajika, hata Mange babake (maana hana time na mama) angekuwa hai asingependezwa na ugomvi na matusi ya mwanae kwa kila mtu, mbona kaka zake wako cool? tatizo alikulia uswahilini, mbezibeach kaja kashajua mengi mabaya ndio maana yupo hivyo.
 
Lara muulize boss wako vipi amekosa hela ya kushonea weaving nyingine maana alionayo ni toka mjamzito mpk sasa nyweli haninuki kweli...? Ni karibia miezi 5 lolz anatuaibisha.....

Hahhhhhhhhhaaaaaa AISEEE JAMANI TUPIGE KURA UPANDE WA LARA NA WA KWETU TUPATE NANI MSHINDII? ??
PIA NI WA NGAPI WAPO UPANDE WA LARA NA MANGE POST ZIHESABIWE TU YAAN LEO LARA UMEPATA LIKES 9 PAGE ZOTE HIZIIII DUUU NDO UJUE UMEDODAA NA MANGE WAKO WALIOMTETEA MANGE HAWAZID 6 PAMOJA NA LARA MWENYEWEE
 
halafu watu humu wanapenda kumchamba ilihali hawajui hawamjui.....full kuchukiana!!!
 
Witty comment darling, i rate 100%, duh upo smart sana binamu, mimi ningependa kupata jibu la swali la 1 tu tuone uo utajiri wake

Et utajirii alionao ni kupata viewers wengi kwenye blog ,eti binam ushaona utajiri wa hivyooo huu si ndo ukichaaa huuu sie atuambie ana nyumba ngapi,biashara je, viwanja etc ....kachenga kujibuu
 
halafu watu humu wanapenda kumchamba ilihali hawajui hawamjui.....full kuchukiana!!!

Demba umaarufu ndo ulivyo acha achambwee tu hata we ukiwa maarufu ndio hivyoooo kubalin matokeoo,maana hamjibu maswalii mnakimbilia tunamchukia kwa lipii alilonalooo
 
Duuu sijaelewa kitu naona maruweruwe ngoja nijirudie zangu kwenye jukwaa la siasa.
 

yule si mzima na elimu imeshindwa kumtofautisha na hao wanaoambiwa wana wivu hawajasoma halafu hana washaur watu wanampa bichwa ngoja siku addondoke ndo atajua dunia tambara bovu
 
Demba umaarufu ndo ulivyo acha achambwee tu hata we ukiwa maarufu ndio hivyoooo kubalin matokeoo,maana hamjibu maswalii mnakimbilia tunamchukia kwa lipii alilonalooo

matokeo yapi? mi siteteagi kashfa zisizo na kichwa wala miguu...huwezi kunikuta humu eti namchamba mtu ikibidi natoa ushauri tu nasepa....awe marufu asiwe maarufu..ila wanawake tuna shiida sana,
 
Jamanii umenikumbusha kule udaku special Mange anachambwaa jamaniii eti" unasema wenzio wabaya we mbona domo kama hotpot hatusemi hm,bhoke mwenyewe sura kama anapigwa lipu "
Watu wana michambo jamaniiiii
na ndo mana ana hasira sana mana hao anaowatukana macute kumzidi wenye watoto ndo duh magoli mengi ye hata hao alozaa na mzungu pori nao majanga wanapewa kk na weupe tu
wakati wenzao mablack na bado wazuriii...!
wapi mangeee sura kilo nane....!!!!
 
Hivi kwanini msifanye partnership muanzishe blog yenu ili mle hela ya wadhamini kama le mutuz alivyofanya.maana humu mnatumia nguvu kubwa mnaishia kupewa like tu

Wengine hatuishii kwaajili ya blog bana wala hatuna mawazo ya kua blog acha wenye nazo wawe nazo ukitaka anzisha yako
 
Et utajirii alionao ni kupata viewers wengi kwenye blog ,eti binam ushaona utajiri wa hivyooo huu si ndo ukichaaa huuu sie atuambie ana nyumba ngapi,biashara je, viwanja etc ....kachenga kujibuu

Nikajua labda ata orodhesha utajir wake tunaambiwa anamilik blog duh nikachoka kweli lara ni kiboko yan kabisa anaandika et anamilik bongo nn sijui , nikajua labda tutaambiwa ana milik walau hata mgahawa kama jide maana najua tusingepumua, sasa bibie bongo hana ata asset ya maana au ndo urith wa baba? Ataje mali zake za kueleweka urith hat akina mwantum wanao uko tandale

Labda anajenga hotel kama serena uko ulaya ngoja tusubir billionaire mange, naona had trip zake za nch ya nje tume orodheshewa chezea
 

Watu wametembeaa dunia nzima hawajaacha nchi hata moja na wamepiga kimyaa tu,
Binamu kama blog ni utajiri hebu anzisha nione utakavyotajirikaaa hapa mjiniii
Majibu marahisi tu loooooo
 
halafu watu humu wanapenda kumchamba ilihali hawajui hawamjui.....full kuchukiana!!!

hapa hajachambwa amepewa fact tu. wanaomchukia ni hao wanamjaza upepo agombane na watu lkn wanaompenda wanamwambia ukweli abehave like msomiiu
 
matokeo yapi? mi siteteagi kashfa zisizo na kichwa wala miguu...huwezi kunikuta humu eti namchamba mtu ikibidi natoa ushauri tu nasepa....awe marufu asiwe maarufu..ila wanawake tuna shiida sana,

Tuna shida mnoo sieer na haziishii acha siku ipiteee kama ilivyoo hadi wa ulaya wana shidaa utafikiri wapo mbagala khaaa!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…