Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Mange Kimambi ndiye mtu anayeogopwa na serikali ya CCM ya awamu ya 5 kuliko mtu yeyote yule duniani. Kwa jinsi ambavyo amekuwa akitukana matusi ya nguoni, kudhalilisha, kusambaza habari za uongo kuhusu Ikulu kwa kusema Makamu wa Rais ameandika barua kujiuzulu nk. Ninakiri wazi kuwa Mange Kimambi hakuna anyeweza Kumgusa maana Marekani siyo Mbali angeshafikiwa zamani sana.
Kwa jinsi alivyomtukana Waziri Mstaafu Rita Mlaki matusi ya nguoni yeye na familia yake, Niwashauri tumpigie Magoti Mange na tumbembeleze Ili apunguze matusi na udhalilishaji la sivyo kile alichokuwa akikitaka wakati anagombea tumpe maana hakuna namna
Hakuna cha Usalama wa Taifa, Hakuna Cha polisi, Hakuna cha interpol, hakuna cha Cyber, hakuna cha Ikulu
Tujifunze Kukiri na Kukubali kuwa Mange Ametushinda. Na kama ndivyo acha tu aendelee kutukana na tusiwaone mkilalalmika ktk mitandao kuwa mmetukanwa
HaiweziSerikali aiwezi kumuogopa
Hasira za baba zaoMange kweli ni kichaa wa kipekee yani serikali inashindwa kumkamata na kumpeleka mirembe kwa lazima atibiwe apunguze maafa kwa jamii inayomzunguka. yule umchokoze usimchokoze akijisikia tu ni matusi, na hasa ana dili na watu maarufu na waliomzidi uwezo...mana yule hakosoi tu na matusi juu tena ya nguoni halafu sio kwamba yote anayoyaongea yana ukweli asilimia 70 ni uongo...nawaonea huruma sana watoto wake mana sio kw vipigo anavyowapa tena bila hata la kosa maana, bora yule mkubwa baba ake anamchukua apumzike na vipigo.
Shemelaa ngoja na mie nikajioneeKweli.nimesoma post 1 tuu.na mama Rita mlaki.nimetoshekaaa
Kwa hiyo unashauri resources zitumike vibaya ku deal na huyo sisimizi? Huyo sisimizi utafika wakati wake ambapo hatategemea.. Ataingia kibla tu...Mbio za panya mwisho wake sakafuni..Mange Kimambi ndiye mtu anayeogopwa na serikali ya CCM ya awamu ya 5 kuliko mtu yeyote yule duniani. Kwa jinsi ambavyo amekuwa akitukana matusi ya nguoni, kudhalilisha, kusambaza habari za uongo kuhusu Ikulu kwa kusema Makamu wa Rais ameandika barua kujiuzulu nk. Ninakiri wazi kuwa Mange Kimambi hakuna anyeweza Kumgusa maana Marekani siyo Mbali angeshafikiwa zamani sana.
Kwa jinsi alivyomtukana Waziri Mstaafu Rita Mlaki matusi ya nguoni yeye na familia yake, Niwashauri tumpigie Magoti Mange na tumbembeleze Ili apunguze matusi na udhalilishaji la sivyo kile alichokuwa akikitaka wakati anagombea tumpe maana hakuna namna
Hakuna cha Usalama wa Taifa, Hakuna Cha polisi, Hakuna cha interpol, hakuna cha Cyber, hakuna cha Ikulu
Tujifunze Kukiri na Kukubali kuwa Mange Ametushinda. Na kama ndivyo acha tu aendelee kutukana na tusiwaone mkilalalmika ktk mitandao kuwa mmetukanwa
sawa madam marryHaiwezi