Kama unalipa na wewe fanya!!!Umalaya uu
It's 24o kwa mwakaNitachanga 20,000 kila mwezi so nachangia 120,000 ya mwaka mzima!
weka namba yako ya simu na jina lako kamili tukuchangieKo kelele za cku zote zile kumbe lengo n kuja kufika huku kwenye kuchangiwa? Kwel kaz ngumu [emoji21] [emoji21] [emoji30]
Nasie tunaomsuportg kwa coment msitusahau cz nasi ni wanaharakat wenzie
Utapeli ndo unaanzaga hivi hivi ! Huko Marekani anaishije mpaka aombe pesa ?! Kwani hizo harakati zake alitumwa na mtu ? Wajinga ndio waliwao,toeni pesa !!Nimepitiasehemu nimeiona hii habari nikaona ni vyema kuisambaza kwaajili ya kufanikisha shughuli za Dada yetu mpendwa Mange Kimambi. Samahani kwa mavazi katika picha hii kama yata wakwaza wengine... Huyu ni mwanaharakati
Mange Kimambi
Mwanadada mtazania anaeishi nchini Marekai ambae amejichukulia umaarufu mkubwa kupitia mitandao ya kijamii hasa mtandao wa Instagram kutokana na harakati zake za kisiasa katika kuikosoa serikali na viongozi bila uoga,Mange kimambi amewaomba watanzania na wadau wengine wanaoguswa na harakati zake wamchangie pesa kidogo ili aweze kuendesha vizuri harakati hizo.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram,Mange Kimambi ameto wito kwa wadau wote kumchangia ili kuweza "kumkeep busy" kwa muda wa masaa 15 kila siku kufanya harakati.
"Nimeona harakati zangu ziendelee based on donation na sio malipo,yaani kwamba atakaeona anaweza kuchangia chochote ili kunikeep online"
"Mtu atakuwa anaweza ku-donate anytime akijisikia yeye kwa amount anayoweza yeye"
Kama ilivyo kushabikia Chama Cha Mataahilawapenda udaku mchangieni bosi wenu sasa kupenda umbea kuna gharama zake!
Nitachanga 20,000 kila mwezi so nachangia 120,000 ya mwaka mzima!
Unaweza kwenda katika blog yake ama facebook page yake umuulize jinsi ya kutuma pesa kama umeguswa na mchango wake mkuu. Mimi sihusiki ilanaamini ana nia nzuri na nchi yake kama anatumia masaa 15 kufanya harakati.Utapeli ndo unaanzaga hivi hivi ! Huko Marekani anaishije mpaka aombe pesa ?! Kwani hizo harakati zake alitumwa na mtu ? Wajinga ndio waliwao,toeni pesa !!
Bia ya 5 nalamba hapa,ok nilimanisha 10,000 kila mwezi ili iwe 120,000 kwa mwakaIt's 24o kwa mwaka
ole wenu msimchangie muone hayo matusi atakayowaporomosheaNjia za malipo tutamchangia tuuuh amna jinsi
ingia katika facebook yake ama social media zingine labda kaweka namna.Tumchangie kwa njia gani sasa na yeye yupo Marekani