Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
Mange Kimambi ni institution/mtu ambae somehow anazipata information ambazo serikali haitaki tuzijue na yeye utuambia- Ni whistle blower mzuri sana
 
Mange Kimambi ni institution/mtu ambae somehow anazipata information ambazo serikali haitaki tuzijue na yeye utuambia- Ni whistle blower mzuri sana
anazipata wapi?na kwanini serikali haitaki mjue?nielekeze namna ya kujiunga na hyo taasisi sina ajira mimi.
 
nyie Jamii forum mbona mmeileta thread huku kutoka jukwaa la habari mchanganyiko huku si kwa mastaa kwa hiyo mange ni taasisi au ni staa ,kama ni staa anafanya muziki gani bolingo,bongo fleva , singeli au taarabu?au anachora katuni, au mchonga vinyago mnazidi kunichanganya na nyinyi Who da hell is this thing?
 
Nasema huyu dada ana jeshi kubwa na hakika amegeuka taasisi tena yenye intelijensia katika maeneo mengi.

Habari ya huko Shinyanga inayohusu wafanyabiashara kufungiwa maduka ambayo Mtatiro nae kaitoa yeye alishatumiwa muda tu hivyo ni wazi huyu dada anapewa taarifa ambazo ni za uhakika hata kama sio zote.


Ya sheikh ndio kabisa yanazidi kuanikwa huku wahusika wakitajwa mpaka na majna jambo ambalo si la kuupuza.

Tunaweza kumpuza ila ni kwa uhakika ni kujidanganya tu.
 
Ni kweli ni taasisi kwa kuwa Chadema mko nyuma yake dhidi ya yote anayofanya....
Swala la kumshambulia kiongozi wa dini mko nyuma ya hayo lakini lazima mjiulize Mange kwenu ni Asset au Liability?
 
yeah....ni jeshi la mtu mmoja lakini mwenye silaha bilioni!
 
Ni kweli ni taasisi kwa kuwa Chadema mko nyuma yake dhidi ya yote anayofanya....
Swala la kumshambulia kiongozi wa dini mko nyuma ya hayo lakini lazima mjiulize Mange kwenu ni Asset au Liability?
Ehh wewe ilo ni swali gumu sana kwao!
 
Kwa yaliyoanikwa, ni wakati wa sheikh wa Dar naye kujitathmini kama anafaa kuendelea kuwaongoza waislam ama aachie ngazi
 
Kwa yaliyoanikwa, ni wakati wa sheikh wa Dar naye kujitathmini kama anafaa kuendelea kuwaongoza waislam ama aachie ngazi
Hawezi kujitathmini maana ana damu ya chama kile...
 
Dunia ina mambo
Bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu,nani angesimama mbele zako?
 
Kuminywa kwa uhuru wa vyombo vya habari hapa Tanzania ndo kunawaibua akina Mange na kuwakuza kwa kasi hivyo. Maisha magumu ya Watanzania ambayo serikali haitaki yaanikwe hadharani kupitia vyombo vya habari basi ndo yamekua kimbilio kwa Mange. Imefikia mpaka waliopo serikalini wanamtumia Mange ili angalau waweze kupaza Sauti zao. Kipindi cha JK mange hakua maarufu kama sasa. Kwa sasa umaarufu wake unazidi kuongezeka
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…