Who is next?

😂lazima,ila nasikia wakati hajatoka alidharauliwa sana na wanawake huenda ndio sababu anawachakata sana

Hii ndio jibu sahihi.. kwa wanaume wengi tuliopitia manyanyaso ya wanawake.. huwa silaha a.k.a pesa ikiwekwa mfukoni matokeo yake huwa ni uchakataji mwanzo mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…