Duuh!!! hii imeni wrong foot-jamani haya ya kweli?usifanye mchezo na hela za majini. Ni duka gani la Bakhresa lenye muuzaji mwanamke?
Sijui kama thread kama hii ilishawai anzishwa hapa j.f,
but i am curious to know who is s.s.bakhresa.
Najua ni nadra sana kwa nchi yoyote kuwa na mtu ambaye ni tycoon na such a biggest business man kama bakhresa
lakini hajawahi kuonekana hata sehemu moja kwenye shughuli za kijamii.
Sijawahi kumsikia akizungumza mahali, wala kuonekana picha yake mahali popote zaidi ya passport yake kwenye website yake na
picha moja kwenye mazishi ya mwanae Khalid.
Tofauti na ilivyo kwa wafanyabiashara wengine hata wale wa asili yake kama akina dewji, rostam, manji etc.
Na pia sifurahishwi na huyu jamaa kuwa producer wa kila kitu hapa tanzania, yaani mpaka chapati na nyanya,
je mamlaka zinazohusika hazina uwezo wa kuainisha hili??
Leo hii akitawala soko la chapati, nyanya, na mpaka nazi zote yeye, je hi sio hatari kwa kina mama wauza chapati?
Na wale wenye magenge ya nyanya na nazi si watafunga magenge yao??
Ni mtazamo tu wana j.f, kama una la kuongeza weka hadharani isije kuwa ni gaidi kama Osama bin Laden.
bussiness and socialogy are two different profenals which however depend on each other.so a bussinessmen must interact with society to so as to enhance market. Huyu bwana pamoja na ajira aliyotoa kwa watanzania anapaswa kushiriki ktk shughuli za kijamii kama michezo,shughuli za kidini,hospitali na ktk nyaja za kielimu.mbona akina mzee mengi, dewji na wengineo wameajili na wanajitoa kwa sector zingine?mm namuomba ajitokeze bwana japo ni mwajiri wangu pia.
<br /><br />mkuu kuhusu kodi<br /><br />
tazama rekodi za tra<br /><br />
bakhresa ndio mtanzania individual anaelipa kodi nyingi kuliko wote<br /><br />
na kampuni yake ni ya tatu<br /><br />
baada ya ttc na tbl
usifanye mchezo na hela za majini. Ni duka gani la Bakhresa lenye muuzaji mwanamke?
Nenda posta kwenye mzunguko wa barabara ya upanga na jamhuri, kuna sehemu ya Bakhresa ice cream kuna wanawake wengi wamejazana wanafanya kaziusifanye mchezo na hela za majini. Ni duka gani la Bakhresa lenye muuzaji mwanamke?
Sijui kama thread kama hii ilishawai anzishwa hapa j.f,
but i am curious to know who is s.s.bakhresa.
Najua ni nadra sana kwa nchi yoyote kuwa na mtu ambaye ni tycoon na such a biggest business man kama bakhresa
lakini hajawahi kuonekana hata sehemu moja kwenye shughuli za kijamii.
Sijawahi kumsikia akizungumza mahali, wala kuonekana picha yake mahali popote zaidi ya passport yake kwenye website yake na
picha moja kwenye mazishi ya mwanae Khalid.
Tofauti na ilivyo kwa wafanyabiashara wengine hata wale wa asili yake kama akina dewji, rostam, manji etc.
Na pia sifurahishwi na huyu jamaa kuwa producer wa kila kitu hapa tanzania, yaani mpaka chapati na nyanya,
je mamlaka zinazohusika hazina uwezo wa kuainisha hili??
Leo hii akitawala soko la chapati, nyanya, na mpaka nazi zote yeye, je hi sio hatari kwa kina mama wauza chapati?
Na wale wenye magenge ya nyanya na nazi si watafunga magenge yao??
Ni mtazamo tu wana j.f, kama una la kuongeza weka hadharani isije kuwa ni gaidi kama Osama bin Laden.
Bussiness and socialogy are two different profenals which however depend on each other.So a bussinessmen must interact with society to so as to enhance market. Huyu bwana pamoja na ajira aliyotoa kwa watanzania anapaswa kushiriki ktk shughuli za kijamii kama michezo,shughuli za kidini,hospitali na ktk nyaja za kielimu.Mbona akina Mzee mengi, Dewji na wengineo wameajili na wanajitoa kwa sector zingine?Mm namuomba ajitokeze bwana japo ni mwajiri wangu pia.[/QUOTE
....... anajenga misikiti, anasaidia wajana ikiwa pamoja na matibabu. ana timu ya mpira ambayo anaiendesha kisasa, ikiwapo na kituo (academy) cha mafunzo. mambo yake mengi ya kijamii anajitahidi kuyafanya katika mtizamo na nidhamu ya kiislaam (......sijui unanielewa hapo?) ........hana haja ya kujitokeza na matangazo, kama mengi anavyolisha maalbino.
Bussiness and socialogy are two different profenals which however depend on each other.So a bussinessmen must interact with society to so as to enhance market. Huyu bwana pamoja na ajira aliyotoa kwa watanzania anapaswa kushiriki ktk shughuli za kijamii kama michezo,shughuli za kidini,hospitali na ktk nyaja za kielimu.Mbona akina Mzee mengi, Dewji na wengineo wameajili na wanajitoa kwa sector zingine?Mm namuomba ajitokeze bwana japo ni mwajiri wangu pia.[/QUOTE
....... anajenga misikiti, anasaidia wajana ikiwa pamoja na matibabu. ana timu ya mpira ambayo anaiendesha kisasa, ikiwapo na kituo (academy) cha mafunzo. mambo yake mengi ya kijamii anajitahidi kuyafanya katika mtizamo na nidhamu ya kiislaam (......sijui unanielewa hapo?) ........hana haja ya kujitokeza na matangazo, kama mengi anavyolisha maalbino.
KABLA HUJAFA HUJAUMBIKA,
HII STATEMENT YAKO NILIYOWEKEA RED IMEONESHA UBAGUZI NA CHUKI KUPITA KIWANGO.
<br />Bussiness and socialogy are two different profesionals which however depend on each other.So a bussinessmn must interact with society so as to enhance market. Huyu bwana pamoja na ajira aliyotoa kwa watanzania anapaswa kushiriki ktk shughuli za kijamii kama michezo,shughuli za kidini,hospitali na ktk nyaja za kielimu.Mbona akina Mzee mengi, Dewji na wengineo wameajili na wanajitoa kwa sector zingine?Mm namuomba ajitokeze bwana japo ni mwajiri wangu pia.[/QUOTE<br />
<br />
....... anajenga misikiti, anasaidia wajana ikiwa pamoja na matibabu. ana timu ya mpira ambayo anaiendesha kisasa, ikiwapo na kituo (academy) cha mafunzo. <b>mambo yake mengi ya kijamii anajitahidi kuyafanya katika mtizamo na nidhamu ya kiislaam </b>(......sijui unanielewa hapo?) ........hana haja ya kujitokeza na matangazo, kama mengi anavyolisha maalbino.
<br />
Kuna mtu leo kaniletea juice ya Azam, ile ya ujazo wa karibu litre moja. Nimeona juu pembeni mwa mfuniko pameandikwa HALAL na maandishi madogo ya kiarabu chini yake. Inamaanisha nini? Kwa mwingiliano wa lugha nimehisi wanamaanisha kwamba iko poa kwa kuliwa na nyingine zisizo na label hiyo bila shaka si HALAL.
hongera zake bwana bakhresa kwa kuwa na mnc all over uganda,zambia,rwanda,burundi ivi kwa watani wetu kenya karuhusiwa kweli?
Zambia waliwai kukupiga zengwe ila umewafua good keep it up!
................ watani wa jadi wanambania juice ! kwani hapa nyumbani amesha waumiza !Hongera zake bwana bakhresa kwa kuwa na MNC all over uganda,zambia,rwanda,burundi ivi kwa watani wetu Kenya karuhusiwa kweli?
Zambia waliwai kukupiga zengwe ila umewafua good keep it up!