Who is Said Salim Bakhresa (Azam)?

Sioni sababu ya kumjadili yeye kama yeye,ila sidhan kama kuna tatizo kwake yeye kumiliki kila biashara,mfano nyanya,chapat,nazi n.k,kwa sasa mazao kama hayo naz,nyanya,na matunda mengine,unapofikia msimu wa matunda mengi huoza kwa sababu hakuna viwanda,so nadhan bakhresa ametoa ukomboz kwa wakulima wa nyanya,nazi,na wakulima wa ngano,pia si woote wenye uwezo wa kuandaa chapat,nadhan zinawasaidia sana mabachela ambao ama hawawez au hawana muda wa kupika CHAPAT
 
Bussiness and socialogy are two different profenals which however depend on each other.So a bussinessmen must interact with society to so as to enhance market. Huyu bwana pamoja na ajira aliyotoa kwa watanzania anapaswa kushiriki ktk shughuli za kijamii kama michezo,shughuli za kidini,hospitali na ktk nyaja za kielimu.Mbona akina Mzee mengi, Dewji na wengineo wameajili na wanajitoa kwa sector zingine?Mm namuomba ajitokeze bwana japo ni mwajiri wangu pia.
 

............ haya maneno ni chuki, dharau, kejeli au wifu !? ........... ziko nyanya za kopo pamoja na nazi, kutoka nchi mbali mbali sokoni, au supermarket unaogopa milango ya vioo ?
 

mkuu kwenye jamii
bakhresa kajenga misikiti miingi mno
ukiwemo msikiti maarufu wa kwa mtoro
zamani alikuwa mfadhili mkubwa wa simba.ni shabiki pia

sughuli nyingi anachangia kimya kimya
mfano wale wamama wa mewata
aliwahi kuwapa milioni 17,enzi hizo wanachangisha itv
ilikuwa nusu au zaidi ya pesa zilizotakiwa
na anachangia mengi sana,ila kimya kimya
 
mkuu kuhusu kodi&lt;br /&gt;<br />
tazama rekodi za tra&lt;br /&gt;<br />
bakhresa ndio mtanzania individual anaelipa kodi nyingi kuliko wote&lt;br /&gt;<br />
na kampuni yake ni ya tatu&lt;br /&gt;<br />
baada ya ttc na tbl
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ni kweli mkuu, nimesikia ni mmoja wa walipaji wakuu wa kodi katika nchi hii ya matajiri wakwepa kodi. Tena nasikia ni muumini mzuri wa dini ya kiislam, lakini bado hiyo haizuii ukwepaji kodi maana hazisimamii biashara zake moja kwa moja. Hivyo ukwepaji kodi upo palepale. Nadhani haya makampuni makubwa ya Tanzania bado yana uwezo mkubwa wa kulipa kodi zaidi ya hii yalipayo sasa.
 
usifanye mchezo na hela za majini. Ni duka gani la Bakhresa lenye muuzaji mwanamke?

................... wewe sio wa class ya jamii forum, class yako ni wale wauaji wa vikongwe kisa macho mekundu !
la jinsia, nenda katika viwanda vya wahindi kama Whitedent, wamejaa tele, kwa malipo ya 1,500/= kwa saa kumi ! nenda nchi jirani kenya, uone wanaume walivyo kosa ajira kwa kuchukuliwa na wanawake and in return wanaume wanapiga sana wanawake pamoja na kukwepa kuoa ( large numbers of single mothers)
 
usifanye mchezo na hela za majini. Ni duka gani la Bakhresa lenye muuzaji mwanamke?
Nenda posta kwenye mzunguko wa barabara ya upanga na jamhuri, kuna sehemu ya Bakhresa ice cream kuna wanawake wengi wamejazana wanafanya kazi
 

Mimi wala sibabaiki na Bakharesa mwendo wangu ni uleule kaka nala vitu fresh, kama chapati natengeneza nyumbani, nynya na matunda nanunua na kusaga juice mimi mwenyewe. who is bhakhresa to me? Aisklimu hata za wachina zipo
 
 
 
Biashara za Bakhresa sasa hivi zinaendeshwa na familia yake wamegawana sekta.
Bakhresa mwenyewe sasa hivi kabakia kwenye biashara ya ice cream tu, Kiwanda cha ngano na kiwanda cha mifuko pamoja vinywaji anasimamia Abubakary huyu mtoto wake alikuwa anasoma Marekani, saizi anaendesha shamba kubwa la ngano nchini Malawi, biashara zingine za Boti na usafirishaji anaendesha Omari, nae ni msomi wa masuala ya biashara. Hakuna sehemu inayokataza kuuza nyanya au chapati
 
 
Hongera zake bwana bakhresa kwa kuwa na MNC all over uganda,zambia,rwanda,burundi ivi kwa watani wetu Kenya karuhusiwa kweli?
Zambia waliwai kukupiga zengwe ila umewafua good keep it up!
 

............. bidhaa kuwa a nembo ya HALAL ni sawa na TBS au ISO ingawa ipo kidini (UISLAAM) hii inasaidia kuondo shaka kuwa bidhaa husika imetengenezwa kwa kufuata nidhamu na taratibu za kiislaam au vigezo vya kiislaam vimezingatiwa. Inasaidia kupata soko la kundi husika. Bidhaa nyingi za South Afrika zina nembo ya HALAL ingawa majority ni Christian. ................. umeona eeeeeenh !!
 
hongera zake bwana bakhresa kwa kuwa na mnc all over uganda,zambia,rwanda,burundi ivi kwa watani wetu kenya karuhusiwa kweli?
Zambia waliwai kukupiga zengwe ila umewafua good keep it up!

wakenya wajinga saana
halafu wanalalamika saana kama wao wamezuiwa
hata mengi kibali cha eatv alichukua miaka kumi kupewa
 
Hongera zake bwana bakhresa kwa kuwa na MNC all over uganda,zambia,rwanda,burundi ivi kwa watani wetu Kenya karuhusiwa kweli?
Zambia waliwai kukupiga zengwe ila umewafua good keep it up!
................ watani wa jadi wanambania juice ! kwani hapa nyumbani amesha waumiza !
 
Hehehe binadam bwana! However philanthropy is necessary,in that aspect your query is valid.However I doubt your concerns are altruistic,you are just not comfortable with him making soo much and not giving back according to ur standards.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…